Kabrasha chumba cha kunyongea


Nini dhana ya mnyongaji kukamatwq kufikishwa kizimban na kuachiwa huru!?
Kwann!?


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Licha ya kuwa ni kifo cha kuogopesha, kina faida nyingi sana ambazo si kila mmoja wetu anabahatika kuzipata.

1. Unajiandaa kwa kifo chako, unapata fursa ya kuagana na ndugu, jamaa na marafiki.

2. Muhimu zaidi, unakuwa kwenye hali ya toba, unapata nafasi ya kutengeneza na kuweka mambo sawa na muumba wako kwa kadri ya imani yako.

3. Unatumia muda mwingi kuwapa wengine maneno ya kuwaongeza imani, mafundisho na ushauri wa kuwa waumini wema.

Kwa ufupi, nimejifunza mambo makubwa sana kupitia huu uzi.

Shukrani Mshana Jr
 
Hiyo namba mbili tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]

Jr[emoji769]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…