Kaburi la Bibi Titi Mohamed

History zote ziko very very unfair..
Wanaokupenda wanaweza ongeza chumvi kidogo..
Wasiokupenda wanaweza ifuta au hata kupotosha historia ya kweli...
 
Sawa. Hata majizi na mafisadi nayo yanaweza kuwa makarimu kinafiki kama Rugemalira ili mradi yapate misifa kutoka jamii wanayoishi lkn kwao hizo pesa wanazogawa ni small change tu ukilinganisha na pesa wanazodhulumu. Huyo marehemu alifariki akiwa na kesi ya kujibu dhidi ya Jamhuri.
 
Ujinga mtupu. Hadithi hizi kawasimulie wajukuu au vitukuu vyako wakienda kulala. Huyo Abbas Sykes kama yeye kweli alikuwa kidume na shujaa wa kupigania uhuru kama unavyomtukuza, kwanini hakupanda yeye jukwaani kuhutubia huo umati hadi amwombe mwanamke? Muislamu gani huyo? Wee zee zima huna haya na story za kutunga? Pumbaaf!
 
Hata sisi watu wa kigoma tulitoa mchango Sana Ila leo tunaonekana wakimbizi
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…