Kaburi la Tewa Said Tewa Makaburi ya Mwinyimkuu Magomeni

Kaburi la Tewa Said Tewa Makaburi ya Mwinyimkuu Magomeni

Mohamed Said

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2008
Posts
21,967
Reaction score
32,074
KABURI LA TEWA SAID TEWA MAKABURI YA MWINYIMKUU MAGOMENI

Tewa Said Tewa kwake nililokuwa mtoto wake mwanae kabisa.

Mzee Tewa Said Tewa akijuana na baba yangu toka udogoni na ujana wao.

Mzee Tewa akaniamini kama baba anavyomwamini mwanae.

Mzee Tewa alipojua naandika kitabu cha historia ya uhuru wa Tanganyika alinieleza mengi ambayo asingeweza kumweleza yeyote yule.

Siku zile watu waliishi kwa hofu wasingeweza hata kukuambia kuwa chanzo cha harakati za kuunda TANU na kudai uhuru wa Tanganyika si Julius Nyerere.

Tewa ndiye aliyenieleza kuwa katiba ya TANU haikuandikwa na Nyerere bali walinakili.kutoka katiba ya Convetions People's Party (CPP) ya Kwame Nkrumah wa Ghana.

Tewa ni kati ya watu waliomuona Nyerere alipofika mjini Dar es Salaam akienda kwa Abdul Sykes ambae nyumba yake haikuwa mbali na kwake pale Mtaa wa Stanley.

Hivi ndivyo alivyojuana na Nyerere wakawa wote ndani ya TAA kisha pamoja wakawa kati ya waasisi 17 waliounda TANU.

Tewa alinieleza maneno ambayo Abdul Sykes alimweleza usiku wa kuamkia uchaguzi wa TAA uliofanyika Arnautoglo Hall walipokubaliana kumchagua Nyerere kuwa President wa TAA April 1953 na mwaka unaofuatia waunde chama cha TANU.

Tewa aliniambia kuwa Abdul alimwambia kuwa wakishampa Nyerere chama hawataweza kumnyang'anya.

Alipofariki Mzee Tewa mwaka wa 1998 sikuwapo nchini na nilirejea muda mfupi baada ya kifo chake.

Nilishangaa kukuta kuwa, Tewa Said Tewa, Dossa Aziz na Zuberi Mtemvu wote vifo vyao vilikuwa vimepishana kwa muda mfupi sana usiozidi mwezi mmoja.

Niliangalia magazeti ya nyuma kutazama wahariri wamechapa nini kuhusu wazalendo wapigania uhuru hawa katika magazeti yao.

Hapakuwa na kitu.

Hawa wote watatu ni wazee wangu na wote nilipata kuzungumzanao kuhusu Julius Nyerere, historia ya TANU na uhuru wa Tanganyika.

Picha ya mwisho ni safari ya Hijja mwaka wa 1964 Tewa Said Tewa akiwa na Abdul Sykes na Chief Abdallah Said Fundikira na watu wengine.

Namuomba Allah awaghufirie madhambi yao na awaingize Firdaus.

Amin.
 
KABURI LA TEWA SAID TEWA MAKABURI YA MWINYIMKUU MAGOMENI

Tewa Said Tewa kwake nililokuwa mtoto wake mwanae kabisa.

Mzee Tewa Said Tewa akijuana na baba yangu toka udogoni na ujana wao.

Mzee Tewa akaniamini kama baba anavyomwamini mwanae.

Mzee Tewa alipojua naandika kitabu cha historia ya uhuru wa Tanganyika alinieleza mengi ambayo asingeweza kumweleza yeyote yule.

Siku zile watu waliishi kwa hofu wasingeweza hata kukuambia kuwa chanzo cha harakati za kuunda TANU na kudai uhuru wa Tanganyika si Julius Nyerere.

Tewa ndiye aliyenieleza kuwa katiba ya TANU haikuandikwa na Nyerere bali walinakili.kutoka katiba ya Convetions People's Party (CPP) ya Kwame Nkrumah wa Ghana.

Tewa ni kati ya watu waliomuona Nyerere alipofika mjini Dar es Salaam akienda kwa Abdul Sykes ambae nyumba yake haikuwa mbali na kwake pale Mtaa wa Stanley.

Hivi ndivyo alivyojuana na Nyerere wakawa wote ndani ya TAA kisha pamoja wakawa kati ya waasisi 17 waliounda TANU.

Tewa alinieleza maneno ambayo Abdul Sykes alimweleza usiku wa kuamkia uchaguzi wa TAA uliofanyika Arnautoglo Hall walipokubaliana kumchagua Nyerere kuwa President wa TAA April 1953 na mwaka unaofuatia waunde chama cha TANU.

Tewa aliniambia kuwa Abdul alimwambia kuwa wakishampa Nyerere chama hawataweza kumnyang'anya.

Alipofariki Mzee Tewa mwaka wa 1998 sikuwapo nchini na nilirejea muda mfupi baada ya kifo chake.

Nilishangaa kukuta kuwa, Tewa Said Tewa, Dossa Aziz na Zuberi Mtemvu wote vifo vyao vilikuwa vimepishana kwa muda mfupi sana usiozidi mwezi mmoja.

Niliangalia magazeti ya nyuma kutazama wahariri wamechapa nini kuhusu wazalendo wapigania uhuru hawa katika magazeti yao.

Hapakuwa na kitu.

Hawa wote watatu ni wazee wangu na wote nilipata kuzungumzanao kuhusu Julius Nyerere, historia ya TANU na uhuru wa Tanganyika.

Picha ya mwisho ni safari ya Hijja mwaka wa 1964 Tewa Said Tewa akiwa na Abdul Sykes na Chief Abdallah Said Fundikira na watu wengine.

Namuomba Allah awaghufirie madhambi yao na awaingize Firdaus.

Amin.
Kati ya watu waongo waongo, wewe mtoa mada umetia fora!
 
Kati ya watu waongo waongo, wewe mtoa mada umetia fora!
Sio kweli mkuu kujibia hoja kihuni hivi, wewe ni zuzu uliochanganyikana na upumbavu, mimi nilitegemea ungeeleza ukweli kama mtoa hoja ameongopa, hapa hakuna udini tunahitaji facts, binafsi ninaamini sana mizimu yangu, hii JF ipo diluted mno kutokana na watu kama wewe, lete hapa hoja bora zaidi
 
Sio kweli mkuu kujibia hoja kihuni hivi, wewe ni zuzu uliochanganyikana na upumbavu, mimi nilitegemea ungeeleza ukweli kama mtoa hoja ameongopa, hapa hakuna udini tunahitaji facts, binafsi ninaamini sana mizimu yangu, hii JF ipo diluted mno kutokana na watu kama wewe, lete hapa hoja bora zaidi
Hoja zake za kijinga kijinga tumezizoea.
Nyie vipimbi mnazimeza mazima kama dodoki.
Atuambie basi ikawaje Field Marshal Okello akaongoza mapinduzi Z'bar ilhali "wazee wake" wapo.
Hajui nasi Dar longtime kabla hamjazaliwa.
 
KABURI LA TEWA SAID TEWA MAKABURI YA MWINYIMKUU MAGOMENI

Tewa Said Tewa kwake nililokuwa mtoto wake mwanae kabisa.

Mzee Tewa Said Tewa akijuana na baba yangu toka udogoni na ujana wao.

Mzee Tewa akaniamini kama baba anavyomwamini mwanae.

Mzee Tewa alipojua naandika kitabu cha historia ya uhuru wa Tanganyika alinieleza mengi ambayo asingeweza kumweleza yeyote yule.

Siku zile watu waliishi kwa hofu wasingeweza hata kukuambia kuwa chanzo cha harakati za kuunda TANU na kudai uhuru wa Tanganyika si Julius Nyerere.

Tewa ndiye aliyenieleza kuwa katiba ya TANU haikuandikwa na Nyerere bali walinakili.kutoka katiba ya Convetions People's Party (CPP) ya Kwame Nkrumah wa Ghana.

Tewa ni kati ya watu waliomuona Nyerere alipofika mjini Dar es Salaam akienda kwa Abdul Sykes ambae nyumba yake haikuwa mbali na kwake pale Mtaa wa Stanley.

Hivi ndivyo alivyojuana na Nyerere wakawa wote ndani ya TAA kisha pamoja wakawa kati ya waasisi 17 waliounda TANU.

Tewa alinieleza maneno ambayo Abdul Sykes alimweleza usiku wa kuamkia uchaguzi wa TAA uliofanyika Arnautoglo Hall walipokubaliana kumchagua Nyerere kuwa President wa TAA April 1953 na mwaka unaofuatia waunde chama cha TANU.

Tewa aliniambia kuwa Abdul alimwambia kuwa wakishampa Nyerere chama hawataweza kumnyang'anya.

Alipofariki Mzee Tewa mwaka wa 1998 sikuwapo nchini na nilirejea muda mfupi baada ya kifo chake.

Nilishangaa kukuta kuwa, Tewa Said Tewa, Dossa Aziz na Zuberi Mtemvu wote vifo vyao vilikuwa vimepishana kwa muda mfupi sana usiozidi mwezi mmoja.

Niliangalia magazeti ya nyuma kutazama wahariri wamechapa nini kuhusu wazalendo wapigania uhuru hawa katika magazeti yao.

Hapakuwa na kitu.

Hawa wote watatu ni wazee wangu na wote nilipata kuzungumzanao kuhusu Julius Nyerere, historia ya TANU na uhuru wa Tanganyika.

Picha ya mwisho ni safari ya Hijja mwaka wa 1964 Tewa Said Tewa akiwa na Abdul Sykes na Chief Abdallah Said Fundikira na watu wengine.

Namuomba Allah awaghufirie madhambi yao na awaingize Firdaus.

Amin.

Ni kitu gani kinaweza kutuaminisha katika habari hii! Na kama hao akina Tewa, Sykes na Dosaa Azizi walikuwa waona mbali katika harakati za kupigania uhuru walishindwa nini hadi kumchagua Julius K Nyerere? Ni dhahiri hawakuwa na kitu kichwani! Acheni Nyerere aitwe Nyerere! Alianzisha TANU akiwa kijana mdogo wa miaka 32 (1954-1922), hao wakubwa walikuwa wapi na wenye elimu gani! Hao walikuwepo wakijamba ushuzi tu ndani ya misuli iliyokuwa haina hata chupi wakisubiri Nyerere afanye mambo makubwa!
 
Sasa hilo kaburi liko wapi? Heading tofauti na context.
 
Ni kitu gani kinaweza kutuaminisha katika habari hii! Na kama hao akina Tewa, Sykes na Dosaa Azizi walikuwa waona mbali katika harakati za kupigania uhuru walishindwa nini hadi kumchagua Julius K Nyerere? Ni dhahiri hawakuwa na kitu kichwani! Acheni Nyerere aitwe Nyerere! Alianzisha TANU akiwa kijana mdogo wa miaka 32 (1954-1922), hao wakubwa walikuwa wapi na wenye elimu gani! Hao walikuwepo wakijamba ushuzi tu ndani ya misuli iliyokuwa haina hata chupi wakisubiri Nyerere afanye mambo makubwa!
Actually Nyerere alikosa hata pa kuwapachika baada ya uhuru maana were unfit everywhere. Labda mabaraza ya wazee wa mahakama.
 
KABURI LA TEWA SAID TEWA MAKABURI YA MWINYIMKUU MAGOMENI

Tewa Said Tewa kwake nililokuwa mtoto wake mwanae kabisa.

Mzee Tewa Said Tewa akijuana na baba yangu toka udogoni na ujana wao.

Mzee Tewa akaniamini kama baba anavyomwamini mwanae.

Mzee Tewa alipojua naandika kitabu cha historia ya uhuru wa Tanganyika alinieleza mengi ambayo asingeweza kumweleza yeyote yule.

Siku zile watu waliishi kwa hofu wasingeweza hata kukuambia kuwa chanzo cha harakati za kuunda TANU na kudai uhuru wa Tanganyika si Julius Nyerere.

Tewa ndiye aliyenieleza kuwa katiba ya TANU haikuandikwa na Nyerere bali walinakili.kutoka katiba ya Convetions People's Party (CPP) ya Kwame Nkrumah wa Ghana.

Tewa ni kati ya watu waliomuona Nyerere alipofika mjini Dar es Salaam akienda kwa Abdul Sykes ambae nyumba yake haikuwa mbali na kwake pale Mtaa wa Stanley.

Hivi ndivyo alivyojuana na Nyerere wakawa wote ndani ya TAA kisha pamoja wakawa kati ya waasisi 17 waliounda TANU.

Tewa alinieleza maneno ambayo Abdul Sykes alimweleza usiku wa kuamkia uchaguzi wa TAA uliofanyika Arnautoglo Hall walipokubaliana kumchagua Nyerere kuwa President wa TAA April 1953 na mwaka unaofuatia waunde chama cha TANU.

Tewa aliniambia kuwa Abdul alimwambia kuwa wakishampa Nyerere chama hawataweza kumnyang'anya.

Alipofariki Mzee Tewa mwaka wa 1998 sikuwapo nchini na nilirejea muda mfupi baada ya kifo chake.

Nilishangaa kukuta kuwa, Tewa Said Tewa, Dossa Aziz na Zuberi Mtemvu wote vifo vyao vilikuwa vimepishana kwa muda mfupi sana usiozidi mwezi mmoja.

Niliangalia magazeti ya nyuma kutazama wahariri wamechapa nini kuhusu wazalendo wapigania uhuru hawa katika magazeti yao.

Hapakuwa na kitu.

Hawa wote watatu ni wazee wangu na wote nilipata kuzungumzanao kuhusu Julius Nyerere, historia ya TANU na uhuru wa Tanganyika.

Picha ya mwisho ni safari ya Hijja mwaka wa 1964 Tewa Said Tewa akiwa na Abdul Sykes na Chief Abdallah Said Fundikira na watu wengine.

Namuomba Allah awaghufirie madhambi yao na awaingize Firdaus.

Amin.
Mzee saidi assalam aleykum!

Mkuu wewe ni hazina kwa uhandishi wa makala za historia hapa nchini ingawa unajitanabaisha moja kwa moja upande mmoja tu wa dini ya uislamu na waisilamu pekee km kwamba wao pekee ndio walipigania uhuru wa nchi hii.

Sijawahi kuona makala zako zinazosimulia upande wa kanisa kwenye harakati za uhuru tungependa pia kusikia makala zako juu ya kanisa na uhuru wa tanganyika.

Tofauti na hapo utakuwa ni mwanaharakati wa dini tu.

Ingawa kwa namna ya masimulizi na mpangilio wa simulizi zako ni wa kipekee sana sana na hauchoshi kusoma.
 
Actually Nyerere alikosa hata pa kuwapachika baada ya uhuru maana were unfit everywhere. Labda mabaraza ya wazee wa mahakama.
Sure elimu elimu elimu dunia na akhera zote ni muhimu sana sana.
 
Mzee nakuheshimu kwanza shikamoo .....ila upaswi kumsema MWALIMU VIBAYA juzi nimekuona UTV lakini navyoona na wengi pia wanaelewa kwamba UMKUBALI MWALIMU NA SIJUI KWANINI!!!!?
 
Mzee nakuheshimu kwanza shikamoo .....ila upaswi kumsema MWALIMU VIBAYA juzi nimekuona UTV lakini navyoona na wengi pia wanaelewa kwamba UMKUBALI MWALIMU NA SIJUI KWANINI!!!!?


Alipofariki Mzee Tewa mwaka wa 1998 sikuwapo nchini na nilirejea muda mfupi baada ya kifo chake.

Nilishangaa kukuta kuwa, Tewa Said Tewa, Dossa Aziz na Zuberi Mtemvu wote vifo vyao vilikuwa vimepishana kwa muda mfupi sana usiozidi mwezi mmoja.
 
ijawahi kuona makala zako zinazosimulia upande wa kanisa kwenye harakati za uhuru tungependa pia kusikia makala zako juu ya kanisa na uhuru wa tanganyika.
Kwa nini nyinyi wenye uhusiano na makanisa hamufanyi utafiti mukaandika humu kwenye jf?

Tutavisoma tu.
 
Sema wewe hayo ya kweli basi
It defies logic, eti walipomchagua Nyerere,

"Tewa aliniambia kuwa Abdul alimwambia kuwa wakishampa Nyerere chama hawataweza kumnyang'anya."

Watu wanahadithiana urongo, halafu watu wasio na akili wayachukue hayo kama ukweli.
 
Mzee saidi assalam aleykum!

Mkuu wewe ni hazina kwa uhandishi wa makala za historia hapa nchini ingawa unajitanabaisha moja kwa moja upande mmoja tu wa dini ya uislamu na waisilamu pekee km kwamba wao pekee ndio walipigania uhuru wa nchi hii.

Sijawahi kuona makala zako zinazosimulia upande wa kanisa kwenye harakati za uhuru tungependa pia kusikia makala zako juu ya kanisa na uhuru wa tanganyika.

Tofauti na hapo utakuwa ni mwanaharakati wa dini tu.

Ingawa kwa namna ya masimulizi na mpangilio wa simulizi zako ni wa kipekee sana sana na hauchoshi kusoma.
Covid...
Waislam hawakuwa pekee katika kupigania uhuru lakini wao walikuwa majority katika kuasisi African Association 1929 na wakawa mstari wa mbele katika harakati zake.

Unapenda niandike hustoria ya kanisa katika harakati hizi.

Nonachoweza kukueleza ambacho nilikutananacho Lindi ni kuwa kanisa lilikuwa linawazuia waumini wake wasijiunge na TANU.

Mimi kunasibishwa na Uislam ni jambo ninaloliomba kwa Allah maisha yangu yote.
 
Covid...
Waislam hawakuwa pekee katika kupigania uhuru lakini wao walikuwa majority katika kuasisi African Association 1929 na wakawa mstari wa mbele katika harakati zake.

Unapenda niandike hustoria ya kanisa katika harakati hizi.

Nonachoweza kukueleza ambacho nilikutananacho Lindi ni kuwa kanisa lilikuwa linawazuia waumini wake wasijiunge na TANU.

Mimi kunasibishwa na Uislam ni jambo ninaloliomba kwa Allah maisha yangu yote.
Hawa watu wanakupinga tu Mzee wetu bila ushahudi wowote.Kwa tuliosoma historia ,kuiishi na kuifundisha,tunafahamu kwamba wakristo wengi wakijinasibisha na uzungu na hata mafundisho yaliyoko kwenye Biblia husisitiza utii kwa mamlaka.Kuna maeneo ambapo bwana Yesu anavunja minyororo ya uhafidhina na ukale lakini hata hivyo waliowengi hawakumuelewa.Ni ajabu msomi wa mission na shule za mkoloni akaja kuanzisha harakati za kumpinga mkoloni yule yule.Kuna waliokuwa wako tayari lakini waliogopa kupoteza maslahi Fulani Fulani na hata walipojaribu aidha walipoteza kazi au walihamishiwa vituo vya mbali na harakati.Kisa cha Nyerere ni exceptional lakini pia kilichangiwa na mambo Mengi.Elimu yake,exposure aliyoipata Makerere na Ednibrough,utundu wake wa kuzaliwa ,hamu ya kupata madaraka ,watu waliompokea alipokuja DSM ,influence ya Fabian society ,urafiki wake na Richard Turnibull lakini pia wakati anaingia kwenye harakati,ukoloni wa kizamani ulishapoteza umuhimu hivyo hata mifumo ikibadilishwa taratibu kuendana na mazingira ya wakati husika.
 
It defies logic, eti walipomchagua Nyerere,

"Tewa aliniambia kuwa Abdul alimwambia kuwa wakishampa Nyerere chama hawataweza kumnyang'anya."

Watu wanahadithiana urongo, halafu watu wasio na akili wayachukue hayo kama ukweli.
KIKAO CHA KUUNDA TANU NYUMBANI KWA HAMZA KIBWANA MWAPACHU NANSIO, UKEREWE 1953
Ilikuwa miezi ya mwanzo ya mwaka wa 1953 kabla ya kufika April, 1953.

Abdul Sykes Act. President na Secretary wa TAA akifuatana na Ali Mwinyi Tambwe Secretary wa Al Jamiatul Islamiyya fi Tanganyika (Umoja wa Waislam wa Tanganyika) walikwenda Nansio, Ukerewe nyumbani kwa Hamza Mwapachu.

Abdul Sykes alikuwa anataka kupata kauli ya mwisho ya Hamza Mwapachu kuhusu Julius Nyerere kuingizwa katika uongozi wa juu wa TAA kwenye uchaguzi wa viongozi wa TAA uliokuwa ufanyike mwezi April.

Uchaguzi ulifanyika kama walivyokubaliana watu hawa watatu na TAA ikawa chini ya uongozi wa Julius Kambarage Nyerere kama ilivyo hapo chini:

J.K. Nyerere, President; Abdulwahid Sykes, Vice-President; J.P. Kasella Bantu, General Secretary; Alexander M. Tobias, Waziri Dossa Aziz, Joint Minuting Secretary; John Rupia, Treasurer, Ally K. Sykes Assistant Treasurer.

Committee members: Dr. Michael Lugazia, Hamisi Diwani, Tewa Said, Denis Phombeah, Z. James, Dome Okochi, C. Ongalo, Patrick Aoko.

(Tanganyika Standard 19 June 1953)
Angalia na sikiliza historia hii hapo chini:

 
Hoja zake za kijinga kijinga tumezizoea.
Nyie vipimbi mnazimeza mazima kama dodoki.
Atuambie basi ikawaje Field Marshal Okello akaongoza mapinduzi Z'bar ilhali "wazee wake" wapo.
Hajui nasi Dar longtime kabla hamjazaliwa.
Jidu..wazee wa Mohamed walipambana kupata uhuru wa Tanganyika wala sio visiwa vya Unguja na Pemba..hayo wauulize Wazanzibar
 
Back
Top Bottom