Angalieni GSM kaja kuwekeza kisoka sio kutetea kesi za kishambenga hii kesi ni heavy ni kama ya uhujumu uchumiPorojo tu nyingi,hili jambo mikia wangelibeba kama mikia kulisimamia au kushtaki karma ambayo ingewapata wangejuta,lakini wameshtuka kujifanya kuiachia tff ilisimamie ili suala,mikia ndio watuhumiwa lakini hata huko tff hawajalalamika zaidi ya kudai eti wamewaachia tff hili jambo [emoji1787]
Mawasiliano yote,na maanisha msg,simu zilizo pigwa huwa yana hifadhiwa kwenye server za mtandao husika na pale mawasiliano uliyofanya Yakihitajika kutumika kwa usalama, simu iliyopigwa ita tafutwa na maongezi yote uliyofanya wakati na saa husika yatapatikana cha msingi ni namba ambayo chip yake ilivunjwa.
Waliompigia simu kabwili bila shaka watapatikana na maongezi yao kama ikiwapendeza TCRA ma Polisi watu wekee hadharani ili jamii ijifunze.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaaaaa!!! Nitulie nini Mtani. Hebu huko [emoji28][emoji28]
Mwana kuahidi IST ndio mwana kuundiwa kamati na TFF. Teh teh.
Wanajua yaliyoendelea ndio maana.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nilivyoona anamrusha Kabwili kavaa vipensi nikajua ana jambo la mana kumbe anamrusha ili watu wamdhihaki na kumkashifu angalau na yeye apate ahueni ya nafsi. Aiseeee!!!.
Hahahahaaaa!!! Kwa kuwa ni kawaida yenu wala hatutashangaa. 😎😎Tutaanza kuwahonga na mashabiki wa yanga[emoji16]
Heeeee. Mumegeukia uchawi Mtani.Mechi zote za Yanga alizocheza na Simba toka msimu uliyopita amepingwa faini kwa sababu za imani ya kushirikina.
Msimu huu tu Yanga imepigwa faini jumla zaidi ya milioni mbili na nusu kwa imani za kishirikina.
Yanga na ushikina sawa samaki na maji.
Shadeeya pitia hiyo Comment hapo👆 halafu utuambie mtaacha lini UCHAWI kwenye mpira. Wachawi Fc"
Hao si ndio wanawaaminisha mashabiki kila siku kwamba Lunyasi wanatembeza muamala wakati Simba kiwango chao ni level nyingine kabisa hasa msimu huu wa ligi. Yeye athibitishe tu madai yake, hana cha utoto wala nini, watoto wako shule saiziDuuh!! Mnavyomkalia kooni utadhania kitu gani. Lol.
Wangapi wameshawahi kusema mbona hamjawasimamia na kucha namna hii. 😎😎
Hebu tunyweni Mtori nyama tutazikuta chini. Tuacheni Kamati iliyoundwa ifanye kazi na pale itakapothibitika si kweli basi ndio muje kumwaga hizo nyongo zenu Ses.Hao si ndio wanawaaminisha mashabiki kila siku kwamba Lunyasi wanatembeza muamala wakati Simba kiwango chao ni level nyingine kabisa hasa msimu huu wa ligi. Yeye athibitishe tu madai yake, hana cha utoto wala nini, watoto wako shule saizi
kinachonichosha mimi ni pale ninaposikia akidai kuwa simba walitaka kumhonga ili atafute kadi nyingine ya njano kwa makusudi ili asidake mechi na simba kwa kuwa yule ambae angedaka angefungika kwa urahisi. Najiuliza kwa nn Simba wasimhonge kipa ambaye direct angedaka mechi hiyo ili wafunge kupitia yeye moja kwa moja? any way acha tuwe watulivu tukisubiri ni nini mwisho wa hili sakata.
Huyu kaingia kwenye 18 zetu na bahati mbaya wanaomtumia wameshaanza kumkana na wanalaumu TFF eti wamekuwa wakali sana kwenye suala hili.
Dogo anasema line alishavunja baada ya kushauriwa na watu wake kuwa ili Simba isiendelee kukufuata fuata basi vunja line
Line ya simu sio issue.. Ushahidi upo.. Anasubiriwa Mhindi wenu aje amwage pesa wajanja wale.
Ushawahi sikia wapi pesa ya mhindi inalika kindezi?Line ya simu sio issue.. Ushahidi upo.. Anasubiriwa Mhindi wenu aje amwage pesa wajanja wale.
Wenzio wanazitafuna kila siku. Unadhani kwa nini alitaka kubwaga manyanga?Ushawahi sikia wapi pesa ya mhindi inalika kindezi?
Unafikiri GSM atakua mjinga atetee ujinga ili serikali itaifishe Magodoro yake?
Juzi mmetembea kwenye mpira saizi mnatembea kwenye kiki ya IST, sasa kabwili akiwa selo mjiamdae kumtembelea central
It's Scars
Juventus aliwahi kushushwa daraja kwa mambo haya. Wajiandae