Kachanganyikiwa sababu ya utumbo wa mbuzi.

Kachanganyikiwa sababu ya utumbo wa mbuzi.

St. Paka Mweusi

JF-Expert Member
Joined
Sep 3, 2010
Posts
7,956
Reaction score
5,149
Dunia haiishi vya kushangaza,mwenzenu jana nimepata mgeni mtoto wa kijerumani,na kwa kuwa tulipanga anitembelee nikamwambia nitakupikia chakula cha kiafrika.Na kweli mtoto wa kiume nikapitia kwa mchina nikachukua utumbo wa mbuzi na ndizi matoke.Nikaandaa utumbo kwa ufundi wangu wote, nikaweka vitunguu swaumu,tangawizi,limao,pilipili mbuzi kwa mbali,kitunguu maji,nyanya ya kopo,pilipili hoho na mazagazaga kibao ya kiafrika.Mgeni wangu alipofika nikamkaribisha na alifurahia akasema tangu azaliwe hajawahi kula chakula kitamu kama hicho na ameniomba akanitambulishe kwa wazazi wake kama mchumba mwenye sifa ya upishi.Sasa wandugu naombeni ushauri nikubali kutambulishwa au huo ndio utakuwa mwanzo wa kugeuzwa hausi boi.
 
Dunia haiishi vya kushangaza,mwenzenu jana nimepata mgeni mtoto wa kijerumani,na kwa kuwa tulipanga anitembelee nikamwambia nitakupikia chakula cha kiafrika.Na kweli mtoto wa kiume nikapitia kwa mchina nikachukua utumbo wa mbuzi na ndizi matoke.Nikaandaa utumbo kwa ufundi wangu wote, nikaweka vitunguu swaumu,tangawizi,limao,pilipili mbuzi kwa mbali,kitunguu maji,nyanya ya kopo,pilipili hoho na mazagazaga kibao ya kiafrika.Mgeni wangu alipofika nikamkaribisha na alifurahia akasema tangu azaliwe hajawahi kula chakula kitamu kama hicho na ameniomba akanitambulishe kwa wazazi wake kama mchumba mwenye sifa ya upishi.Sasa wandugu naombeni ushauri nikubali kutambulishwa au huo ndio utakuwa mwanzo wa kugeuzwa hausi boi.

Mimi sikushauri chochote ila kitendo cha yeye KUOMBA kimenifurahisha muno. Wewe nanihiii lete nyingine......

Yani mimi nasubiri tu miaka yooote hii niombwe ila wapi?
 
Dunia haiishi vya kushangaza,mwenzenu jana nimepata mgeni mtoto wa kijerumani,na kwa kuwa tulipanga anitembelee nikamwambia nitakupikia chakula cha kiafrika.Na kweli mtoto wa kiume nikapitia kwa mchina nikachukua utumbo wa mbuzi na ndizi matoke.Nikaandaa utumbo kwa ufundi wangu wote, nikaweka vitunguu swaumu,tangawizi,limao,pilipili mbuzi kwa mbali,kitunguu maji,nyanya ya kopo,pilipili hoho na mazagazaga kibao ya kiafrika.Mgeni wangu alipofika nikamkaribisha na alifurahia akasema tangu azaliwe hajawahi kula chakula kitamu kama hicho na ameniomba akanitambulishe kwa wazazi wake kama mchumba mwenye sifa ya upishi.Sasa wandugu naombeni ushauri nikubali kutambulishwa au huo ndio utakuwa mwanzo wa kugeuzwa hausi boi.

Yaani huyo binti wa kizungu kadata na thupu ya utumbo tu au kuna mengineyo ulimpatia?
 
Mimi sikushauri chochote ila kitendo cha yeye KUOMBA kimenifurahisha muno. Wewe nanihiii lete nyingine......

Yani mimi nasubiri tu miaka yooote hii niombwe ila wapi?




Mkuu naomba upate nyingine kwa bili yangu,umenifurahisha sana maana hilo la bahati nilikuwa sijaliangalia.
 
Yaani huyo binti wa kizungu kadata na thupu ya utumbo tu au kuna mengineyo ulimpatia?

Kala utumbo mchicha tangawizi kaomba akutambulishe kabla sija kushauri nikuulize vp MTAMU?
 
Wewe Pm bwana acha kutuzuga hapa mpaka mnakubaliana aje kukutembela mlikuwa mmetongozana au??? Hapa kuna walakini iweje aje kukutembelea tu thena ale utumbo azuke tu akakutambulishe home kwao??? Kuna kitu hakijakaa sawa hapa kuwa wazi
 
Dunia haiishi vya kushangaza,mwenzenu jana nimepata mgeni mtoto wa kijerumani,na kwa kuwa tulipanga anitembelee nikamwambia nitakupikia chakula cha kiafrika.Na kweli mtoto wa kiume nikapitia kwa mchina nikachukua utumbo wa mbuzi na ndizi matoke.Nikaandaa utumbo kwa ufundi wangu wote, nikaweka vitunguu swaumu,tangawizi,limao,pilipili mbuzi kwa mbali,kitunguu maji,nyanya ya kopo,pilipili hoho na mazagazaga kibao ya kiafrika.Mgeni wangu alipofika nikamkaribisha na alifurahia akasema tangu azaliwe hajawahi kula chakula kitamu kama hicho na ameniomba akanitambulishe kwa wazazi wake kama mchumba mwenye sifa ya upishi.Sasa wandugu naombeni ushauri nikubali kutambulishwa au huo ndio utakuwa mwanzo wa kugeuzwa hausi boi.

kaka jiandae!
 
Wewe Pm bwana acha kutuzuga hapa mpaka mnakubaliana aje kukutembela mlikuwa mmetongozana au??? Hapa kuna walakini iweje aje kukutembelea tu thena ale utumbo azuke tu akakutambulishe home kwao??? Kuna kitu hakijakaa sawa hapa kuwa wazi

D, Hili nalo neno
 
Wewe Pm bwana acha kutuzuga hapa mpaka mnakubaliana aje kukutembela mlikuwa mmetongozana au??? Hapa kuna walakini iweje aje kukutembelea tu thena ale utumbo azuke tu akakutambulishe home kwao??? Kuna kitu hakijakaa sawa hapa kuwa wazi




Mama, kwani nakuzuga vipi tena,wenzetu hawana kawaida ya kuficha yaliyo mioyoni mwao,akipenda kitu anakueleza hapohapo na ukweli ni kuwa sikuwa nimemtongoza ila nilikuwa na mpango huo.
 
Dunia haiishi vya kushangaza,mwenzenu jana nimepata mgeni mtoto wa kijerumani,na kwa kuwa tulipanga anitembelee nikamwambia nitakupikia chakula cha kiafrika.Na kweli mtoto wa kiume nikapitia kwa mchina nikachukua utumbo wa mbuzi na ndizi matoke.Nikaandaa utumbo kwa ufundi wangu wote, nikaweka vitunguu swaumu,tangawizi,limao,pilipili mbuzi kwa mbali,kitunguu maji,nyanya ya kopo,pilipili hoho na mazagazaga kibao ya kiafrika.Mgeni wangu alipofika nikamkaribisha na alifurahia akasema tangu azaliwe hajawahi kula chakula kitamu kama hicho na ameniomba akanitambulishe kwa wazazi wake kama mchumba mwenye sifa ya upishi.Sasa wandugu naombeni ushauri nikubali kutambulishwa au huo ndio utakuwa mwanzo wa kugeuzwa hausi boi.

Mhh Mega kwanza tunda, ndio mambo ya kutambulishana yafwate...Utauziwa mbuzi kwenye gunia shauri yako!!!
 
Back
Top Bottom