Kachanganyikiwa sababu ya utumbo wa mbuzi.

anapagawa na utumbo? akitengenezewa maini je?



Hapo ndio ninapowashangaaga hawa watu,kwao nyama ni ile steak tu,haya mambo ya sijui utumbo,maini,figo,bandama,kongoro wao wala hawayajui ila wakipata mpishi akawaonjesha ndio shida zinaanza,anyway next time nitampikia maini nione atasemaje.
 
Wasiliana na mwanachama mmoja wa JF, anaitwa Kipala...! Atakusaidia mawazo.
 
Wa Makanza! Kuna watu naona umeweza wafungisha tela na hadithi za Homeboy Eric Shigongo
 
Wa Makanza! Kuna watu naona umeweza wafungisha tela na hadithi za Homeboy Eric Shigongo




Mchungaji nawe sasa hutaki?Lakini hakuna shida najua anga zako ni zile zinazozungumzia tiGo tu hapo utaamini bila wasiwasi.NIKUMBUKE TU KATIKA SALA ZAKO.
 
Paka wee huishi vituko haha haha u ulimpa madhiwa moto mhh!
 
Mchungaji nawe sasa hutaki?Lakini hakuna shida najua anga zako ni zile zinazozungumzia tiGo tu hapo utaamini bila wasiwasi.NIKUMBUKE TU KATIKA SALA ZAKO.

Hahahahahahah haya bwana nimeanza kuamini! Hebu jaribisha hiyo uone itakuwaje maeneo ya shemeji
 
hahahah paka mweusi mbona huishi vituko,naomba na me uje unipikie utumbo wa mbuzi na kisusio
 
ninajiuliza utumbo wa mbuzi unaliwa,,,tangu nilipoiona hii thread lakini sipati jibu au mtoa mada alikuwa na maana nyengine???????????
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…