LGE2024 Kada wa CCM: Kama mtu atakuwa hajaenda kuchagua au kuchaguliwa basi hata kwa Mwenyezi Mungu atakuwa hajatenda haki

LGE2024 Kada wa CCM: Kama mtu atakuwa hajaenda kuchagua au kuchaguliwa basi hata kwa Mwenyezi Mungu atakuwa hajatenda haki

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Mindyou

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2024
Posts
1,869
Reaction score
4,877
Wakuu,

Hivi karibuni nimeona video moja ya Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mji wa Makambako, Hanana Mfikwa akizungumzia kutumia viongozi wa dini kuwahamasisha wananchi kwenda kupiga kura.

Mfikwa alisema kuwa viongozi wa dini watumie ushawishi "kuwaelimisha" wananchi kuhusu kushiriki kwenye Uchaguzi na moja ya kauli aliyotoa ni kuwa

"Kama mtu atakuwa hajaenda kuchagua au kuchaguliwa basi nafikiri hata kwa Mwenyezi Mungu atakuwa hajatenda haki"

Najua humu jukwaani kuna watu wana uelewa zaidi kuhusu mambo ya imani, hivi ni wapi imeandikwa kuwa mtu asiposhiriki kwenye uchaguzi ni kosa? Huo mstari unapatikana wapi?

Na kwanini viongozi wengi wa CCM wanapenda sana kuhusisha dini na siasa?


 
Bora niikose hyo mbingu kuliko kupoteza muda wangu Kwenye kujiandikisha na kupiga kuraa kwakweliii..

CCM nyie n wezi.....mpk shetan mwenyewee anawashangaaa
 
Wajibu wao wa kubadilisha katiba ili iendane na matakwa ya raia wameufanya au wanataka raia wakapoteze muda kwenye maigizo ya uchaguzi tu?
 
Wakuu,

Hivi karibuni nimeona video moja ya Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mji wa Makambako, Hanana Mfikwa akizungumzia kutumia viongozi wa dini kuwahamasisha wananchi kwenda kupiga kura.

Mfikwa alisema kuwa viongozi wa dini watumie ushawishi "kuwaelimisha" wananchi kuhusu kushiriki kwenye Uchaguzi na moja ya kauli aliyotoa ni kuwa

"Kama mtu atakuwa hajaenda kuchagua au kuchaguliwa basi nafikiri hata kwa Mwenyezi Mungu atakuwa hajatenda haki"

Najua humu jukwaani kuna watu wana uelewa zaidi kuhusu mambo ya imani, hivi ni wapi imeandikwa kuwa mtu asiposhiriki kwenye uchaguzi ni kosa? Huo mstari unapatikana wapi?

Na kwanini viongozi wengi wa CCM wanapenda sana kuhusisha dini na siasa?


Wewe ni kichaa, sio bure
 
Back
Top Bottom