LGE2024 Kada wa CCM, Salim Asas: Safari hii hakuna Kituo kitakosa Sanduku la kupigia kura

LGE2024 Kada wa CCM, Salim Asas: Safari hii hakuna Kituo kitakosa Sanduku la kupigia kura

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Influenza

JF-Expert Member
Joined
Jul 1, 2018
Posts
1,509
Reaction score
3,756
MNEC Salim Abri Asas akizungumza na waandishi wa habari mkoa wa Iringa baada ya kupiga kura Uchaguzi wa Serikali za Mitaa leo Kituo Cha chuo Cha Afya kata ya Gangilonga



Anasema “Wananchi watachagua CCM kwa kuwa sasa mambo mengi yameboreshwa, barabara zimeboreshwa, elimu na vituo vya afya pia kwani Serikali ya CCM imefanya vizuri”

Aidha, ameongeza kuwa “Hakuna kituo ambacho kitakosa sanduku la kupigia kura, kwa maana safari hii utaratibu upo tofauti na awali ambapo sasa kuna kura ya NDIO au HAPANA”
 
Back
Top Bottom