Mindyou
JF-Expert Member
- Sep 2, 2024
- 1,869
- 4,877
Wakuu,
Suala la Uchawa limezidi kuwa gumzo nchini.
Huyu hapa ni Sophia Simba, kada mtiifu wa CCM ambaye alishawahi kuwa Waziri huko Serikalini.
Pia soma: Pre GE2025 - Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
"Sisi enzi zetu hakukuwa na uchawa, watu walikuwa wanapata vyeo kwa uwezo wao na chawa wengi ni lazima watakuwa na tabia za fitina na majungu ili watimize malengo yao"
Suala la Uchawa limezidi kuwa gumzo nchini.
Huyu hapa ni Sophia Simba, kada mtiifu wa CCM ambaye alishawahi kuwa Waziri huko Serikalini.
Pia soma: Pre GE2025 - Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
"Sisi enzi zetu hakukuwa na uchawa, watu walikuwa wanapata vyeo kwa uwezo wao na chawa wengi ni lazima watakuwa na tabia za fitina na majungu ili watimize malengo yao"