Og wanaelewa, watu walipata kiahalali based on uwezo, sio kulamba watu viatuWakuu,
Suala la Uchawa limezidi kuwa gumzo nchini.
Huyu hapa ni Sophia Simba, kada mtiifu wa CCM ambaye alishawahi kuwa Waziri huko Serikalini.
"Sisi enzi zetu hakukuwa na uchawa, watu walikuwa wanapata vyeo kwa uwezo wao na chawa wengi ni lazima watakuwa na tabia za fitina na majungu ili watimize malengo yao"
View attachment 3253282
Hahaaaaa et jina ka mzizi wa mhogoLucas mwashambwa maralia na mwingine yule titlan sijui jina kama mzizi wa mhogo wasikie haya ni wajinga wajinga tu
Kwa kiasi fulani yupo sahihiWakuu,
Suala la Uchawa limezidi kuwa gumzo nchini.
Huyu hapa ni Sophia Simba, kada mtiifu wa CCM ambaye alishawahi kuwa Waziri huko Serikalini.
"Sisi enzi zetu hakukuwa na uchawa, watu walikuwa wanapata vyeo kwa uwezo wao na chawa wengi ni lazima watakuwa na tabia za fitina na majungu ili watimize malengo yao"
View attachment 3253282
Mama uyu apewe maua kidogoWakuu,
Suala la Uchawa limezidi kuwa gumzo nchini.
Huyu hapa ni Sophia Simba, kada mtiifu wa CCM ambaye alishawahi kuwa Waziri huko Serikalini.
"Sisi enzi zetu hakukuwa na uchawa, watu walikuwa wanapata vyeo kwa uwezo wao na chawa wengi ni lazima watakuwa na tabia za fitina na majungu ili watimize malengo yao"
View attachment 3253282
Wamekufitini nini wewe chawaKama akina Lissu na Lema!! Wanaume wana fitina sijawai ona!!!
π π π wapi mwashabwa na tla lilaWakuu,
Suala la Uchawa limezidi kuwa gumzo nchini.
Huyu hapa ni Sophia Simba, kada mtiifu wa CCM ambaye alishawahi kuwa Waziri huko Serikalini.
"Sisi enzi zetu hakukuwa na uchawa, watu walikuwa wanapata vyeo kwa uwezo wao na chawa wengi ni lazima watakuwa na tabia za fitina na majungu ili watimize malengo yao"
View attachment 3253282
Amesema ukweli kabisa. Saivi uchawa ni tishio kwa mustakabali wa Taifa letu.Wakuu,
Suala la Uchawa limezidi kuwa gumzo nchini.
Huyu hapa ni Sophia Simba, kada mtiifu wa CCM ambaye alishawahi kuwa Waziri huko Serikalini.
"Sisi enzi zetu hakukuwa na uchawa, watu walikuwa wanapata vyeo kwa uwezo wao na chawa wengi ni lazima watakuwa na tabia za fitina na majungu ili watimize malengo yao"
View attachment 3253282
Lucas mwashambwa maralia na mwingine yule titlan sijui jina kama mzizi wa mhogo wasikie haya ni wajinga wajinga tu
Alikuwa chawa wake kivipi? Uliwahi ona Sofia Simba akimfanyia uchawa Lowassa?Ila na yeye si alikua chawa mkubwa wa Laigwanan EL.