LGE2024 Kada wa CHADEMA amlipua Makalla wa CCM mbele ya wanahabari. Amwambia aache kiherehere, asema CCM haijajiandaa na Uchaguzi!

LGE2024 Kada wa CHADEMA amlipua Makalla wa CCM mbele ya wanahabari. Amwambia aache kiherehere, asema CCM haijajiandaa na Uchaguzi!

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Mindyou

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2024
Posts
1,869
Reaction score
4,877
Wakuu,

Inaonekana kauli za Amos Makalla za hivi karibuni zimewakera sana viongozi wa CHADEMA ambao hivi karibuni wamejitokeza rasmi kumjibu.

Akiwa anazungumza kwenye mikutano tofauti tofauti, Makalla amekuwa akisema kuwa CHADEMA wamekuwa wakilalamika sana kuonewa kwa sababu hawajiandaa na uchaguzi.

Soma Pia: Amosi Makalla: CHADEMA wamepoteza muda mwingi kwenye maandamano, kwenye uchaguzi huu hawajajipanga

Kwenye press conference ambayo wameifanya siku ya leo, kada huyu wa CHADEMA alimpopoa Makalla kwa kusema Makalla sio msemaji wa CHADEMA na kwamba wao CCM ndio hawajiandaa na Uchaguzi kwani wametumia muda mwingi kumsifia Samia.

"CCM sio wasemaji wetu. Amos Makalla aache kiherehere. Yule mwenezi wa CCM ana kiherehere cha kufuatilia sana hotuba zetu na kuanza kusema hatujajiandaa. Komaa we baba sisi tumejiandaa. Kwani si tuna kazi tuna gani?"

 
Wakuu,

Inaonekana kauli za Amos Makalla za hivi karibuni zimewakera sana viongozi wa CHADEMA ambao hivi karibuni wamejitokeza rasmi kumjibu.

Akiwa anazungumza kwenye mikutano tofauti tofauti, Makalla amekuwa akisema kuwa CHADEMA wamekuwa wakilalamika sana kuonewa kwa sababu hawajiandaa na uchaguzi.

Soma Pia: Amosi Makalla: CHADEMA wamepoteza muda mwingi kwenye maandamano, kwenye uchaguzi huu hawajajipanga

Kwenye press conference ambayo wameifanya siku ya leo, kada huyu wa CHADEMA alimpopoa Makalla kwa kusema Makalla sio msemaji wa CHADEMA na kwamba wao CCM ndio hawajiandaa na Uchaguzi kwani wametumia muda mwingi kumsifia Samia.
Makavu live😂
 
CCM imejiandaa kwa wizi na dhulma ya uchaguzi kwa mgomgo wa vyombo vya dola.
 
Back
Top Bottom