Pre GE2025 Kada wa CHADEMA, Romanus Mapunda atangaza nia ya kugombea Urais 2025

Pre GE2025 Kada wa CHADEMA, Romanus Mapunda atangaza nia ya kugombea Urais 2025

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Wakuu

Tunajua msimamo wa Chama upo wazi, bila mabadiliko hakutakuwa na uchaguzi na hawatashiriki uchaguzi, huyu Mapunda imekuaje ametangaza nia wakati wenzake wanapaza sauti ya No Reform, No Election?

==

Kada wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Romanus Mapunda, ametangaza azma yake ya kugombea urais kupitia chama hicho katika uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 2025.

1741868318430.png
Mapunda, ambaye ni mkazi wa Kawe, Dar es Salaam, alitoa tamko hilo jana wakati akizungumza na waandishi wa habari katika hoteli ya Heritage Cottage, iliyopo katika Manispaa ya Songea.

Soma: Mapunda achukua fomu, ajitosa kinyang’anyiro cha Uenyekiti CHADEMA, kumvaa Lissu

Akiwa na ari kubwa, Mapunda alisema hana sababu yoyote ya kutogombea nafasi hiyo na kwamba amejipanga kikamilifu kushiriki mchakato wa kuwania urais kupitia CHADEMA, akisubiri taratibu rasmi za chama.

"Nimeamua kutangaza wazi kuwa nitachukua fomu ya kugombea urais kupitia tiketi ya CHADEMA. Naomba ushirikiano kutoka kwa chama changu kwa sababu nina mpango wa kuleta mabadiliko makubwa ya maendeleo nchini. Nataka kuijenga Tanzania mpya yenye mwelekeo mzuri kwa wananchi," alisema Mapunda.

Chanzo: Nipashe
Pia, Soma
 
Hivi hawa wanaongea kabla ya kutoa Maamuzi; Sasa no Reform no Elections wapi na wapi au Reforms zimeshafanyika / zitafanyika ?
 
Kada wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Romanus Mapunda, ametangaza azma yake ya kugombea urais kupitia chama hicho katika uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 2025.

Mapunda, ambaye ni mkazi wa Kawe, Dar es Salaam, alitoa tamko hilo jana wakati akizungumza na waandishi wa habari katika hoteli ya Heritage Cottage, iliyopo katika Manispaa ya Songea.

Soma: Mapunda achukua fomu, ajitosa kinyang’anyiro cha Uenyekiti CHADEMA, kumvaa Lissu

Akiwa na ari kubwa, Mapunda alisema hana sababu yoyote ya kutogombea nafasi hiyo na kwamba amejipanga kikamilifu kushiriki mchakato wa kuwania urais kupitia CHADEMA, akisubiri taratibu rasmi za chama.

"Nimeamua kutangaza wazi kuwa nitachukua fomu ya kugombea urais kupitia tiketi ya CHADEMA. Naomba ushirikiano kutoka kwa chama changu kwa sababu nina mpango wa kuleta mabadiliko makubwa ya maendeleo nchini. Nataka kuijenga Tanzania mpya yenye mwelekeo mzuri kwa wananchi," alisema Mapunda.

Chanzo: Nipashe
Kada gani wa chadema asiyejua msimamo wa chama kuhusiana na uchaguzi?
 
CCM badala ya kufanya hayo maigizo ni vizuri mkajikita kawaza namna ya kufanya Reforms za Katiba ili Tanzania tuwe na Chaguzi Huru na Haki.

Hawa vichaa mnaowaokota huko mitaani kufanya maigizo yenu ni wajinga tu na hawawasaidii chochote.
 
Kada wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Romanus Mapunda, ametangaza azma yake ya kugombea urais kupitia chama hicho katika uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 2025.

Mapunda, ambaye ni mkazi wa Kawe, Dar es Salaam, alitoa tamko hilo jana wakati akizungumza na waandishi wa habari katika hoteli ya Heritage Cottage, iliyopo katika Manispaa ya Songea.

Soma: Mapunda achukua fomu, ajitosa kinyang’anyiro cha Uenyekiti CHADEMA, kumvaa Lissu

Akiwa na ari kubwa, Mapunda alisema hana sababu yoyote ya kutogombea nafasi hiyo na kwamba amejipanga kikamilifu kushiriki mchakato wa kuwania urais kupitia CHADEMA, akisubiri taratibu rasmi za chama.

"Nimeamua kutangaza wazi kuwa nitachukua fomu ya kugombea urais kupitia tiketi ya CHADEMA. Naomba ushirikiano kutoka kwa chama changu kwa sababu nina mpango wa kuleta mabadiliko makubwa ya maendeleo nchini. Nataka kuijenga Tanzania mpya yenye mwelekeo mzuri kwa wananchi," alisema Mapunda.

Chanzo: Nipashe
Labda uraisi wa wa mapunda
 
Kada wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Romanus Mapunda, ametangaza azma yake ya kugombea urais kupitia chama hicho katika uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 2025.

Mapunda, ambaye ni mkazi wa Kawe, Dar es Salaam, alitoa tamko hilo jana wakati akizungumza na waandishi wa habari katika hoteli ya Heritage Cottage, iliyopo katika Manispaa ya Songea.

Soma: Mapunda achukua fomu, ajitosa kinyang’anyiro cha Uenyekiti CHADEMA, kumvaa Lissu

Akiwa na ari kubwa, Mapunda alisema hana sababu yoyote ya kutogombea nafasi hiyo na kwamba amejipanga kikamilifu kushiriki mchakato wa kuwania urais kupitia CHADEMA, akisubiri taratibu rasmi za chama.

"Nimeamua kutangaza wazi kuwa nitachukua fomu ya kugombea urais kupitia tiketi ya CHADEMA. Naomba ushirikiano kutoka kwa chama changu kwa sababu nina mpango wa kuleta mabadiliko makubwa ya maendeleo nchini. Nataka kuijenga Tanzania mpya yenye mwelekeo mzuri kwa wananchi," alisema Mapunda.

Chanzo: Nipashe
anamaanisha no reform na elections ni jambo binafsi la kitapeli ndani ya chadema right?🐒
 
Back
Top Bottom