KERO Kada ya Ualimu Makete (Njombe) hatujapewa posho za kujikimu za Mwaka 2019

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
A

Anonymous

Guest
Naomba TAMISEMI iangalie posho za kujikimu Kada ya Ualimu Mwaka 2019 Makete hatukupewa fedha hizo. Kila tukiuliza tunaambiwa Serikali bado haijaleta fedha hizo ilihali wilaya nyingine walilipwa Mwaka huohuo 2019.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…