Kadaraja kenyewe kafupi haka, kwa miezi 65 kalikuwa na uchungu

Kadaraja kenyewe kafupi haka, kwa miezi 65 kalikuwa na uchungu

Joined
Jul 18, 2019
Posts
76
Reaction score
304
I told them we are back

62ADE9DE-4F22-4DC9-A394-BF8206572275.jpeg
 
Kundenge alitaka amuue naye baada ya kuzongwa zongwa na Lodilofa kwamba anayofanya siyo sahihi onhoooo Ikala kwa Lodi Lofa kwamba ni heart attack Saa nyingine wanasiasa sijui Kama watapata cha kujibu huko mbinguni
 
Kundenge alitaka amuue naye baada ya kuzongwa zongwa na Lodilofa kwamba anayofanya siyo sahihi onhoooo Ikala kwa Lodi Lofa kwamba ni heart attack Saa nyingine wanasiasa sijui Kama watapata cha kujibu huko mbinguni
 
Kundenge alitaka amuue naye baada ya kuzongwa zongwa na Lodilofa kwamba anayofanya siyo sahihi onhoooo Ikala kwa Lodi Lofa kwamba ni heart attack Saa nyingine wanasiasa sijui Kama watapata cha kujibu huko mbinguni

Hii ya kumnyamazisha Lodilofa ni Karma kwa Lodilofa mwenyewe kwa yale aliyomfanyia Nyerere!! Lodilofa alitawala kwa raha baada ya absence ya Nyerere vivyo hivyo Magufuli aliamini absence ya Mkapa itamfanya atawale kwa raha hasa rejea yaliyotokea Dodoma kwenye CCM kuelekea uchaguzi mkuu.
 
Kundenge alitaka amuue naye baada ya kuzongwa zongwa na Lodilofa kwamba anayofanya siyo sahihi onhoooo Ikala kwa Lodi Lofa kwamba ni heart attack Saa nyingine wanasiasa sijui Kama watapata cha kujibu huko mbinguni
Ohoo
 
Hii ya kumnyamazisha Lodilofa ni Karma kwa Lodilofa mwenyewe kwa yale aliyomfanyia Nyerere!! Lodilofa alitawala kwa raha baada ya absence ya Nyerere vivyo hivyo Magufuli aliamini absence ya Mkapa itamfanya atawale kwa raha hasa rejea yaliyotokea Dodoma kwenye CCM kuelekea uchaguzi mkuu.
JamiiForums1810231167.jpg
 
Mwanzo baada ya mwenda zake kuzikwa ilikua hivyo, yaani the come back of "mtoto wa mjini" was real na alikua aki dictate terms. Hapa katikati sijui kimetokra nini! Ni kama ile influence yake kwa Malakia Mkuu imepungua

Nachokiona team Sato na Sangara kidogo kidogo wanajijenga. Mwanzo baada ya msibana zile siku 100 walifadhaika na kunywea. Lakini wakatafakari wakaona wasitumie nguvu sana bali ushawishi na wakti mwingine "ulozi" ili empire yao iliyojengwa na marehemu isifumuliwe

Bahati mbaya Malkia Mkuu anaelekea kuwasikiliza, na kiasi fulani kapunguza (au kashauriwa kupunguza kama sio kuacha kabisa) kuchukua ushauri wa Mtoto wa Mjini. Ni kosa kubwa sana kwa Malkia. Sato na sangara sio wakuwachekea. Muda utaamua
 
Back
Top Bottom