Mwenda_Pole
JF-Expert Member
- Jul 5, 2008
- 281
- 66
Tanzania tunajifunza nini kuhusu hili,
Nchini Kenya moto umeanza kuwaka juu ya aidha mahakama ya Kadhi( Kadhi court) iwepo kwenye katiba mpya ya kenya ama la, ni nafasi nzuri kwetu wa TZ kujifunza kutoka kwa hawa jamaa kwani hatuna tofauti, sababu kuu za wanazotoa ndugu zetu waislam za kutaka isiwepo na wale wanaopinga isiwepo kwenye katiba ni zile zile tu kama hapa kwetu.
check hapa
[ame]http://www.youtube.com/watch?v=5udbx7eLS1s[/ame]
Nchini Kenya moto umeanza kuwaka juu ya aidha mahakama ya Kadhi( Kadhi court) iwepo kwenye katiba mpya ya kenya ama la, ni nafasi nzuri kwetu wa TZ kujifunza kutoka kwa hawa jamaa kwani hatuna tofauti, sababu kuu za wanazotoa ndugu zetu waislam za kutaka isiwepo na wale wanaopinga isiwepo kwenye katiba ni zile zile tu kama hapa kwetu.
check hapa
[ame]http://www.youtube.com/watch?v=5udbx7eLS1s[/ame]