Kadhia anazokumbana nazo Mtoto wa kike hadi kutimiza ndoto zake

Kadhia anazokumbana nazo Mtoto wa kike hadi kutimiza ndoto zake

realMamy

JF-Expert Member
Joined
Apr 28, 2024
Posts
3,925
Reaction score
8,853
Hii iko wazi kuwa Mtoto wa Kike anakumbana na Vikwazo vingi sana hadi kutimiza ndoto zake. Vikwazo hivo huanzia Pale tu anapozaliwa katika familia ambazo zilihitaji Mtoto wa Kiume kuwa wa Kwanza ili kupata mtoto wa kuendeleza ukoo na kurithi mali.

Basi huanza kubaguliwa kuanzia hapo yeye na mama yake na hata mitandaoni tunasoma story nyingi tu zinazohusu ubaguzi wa mtoto wa kike.

Ngazi nyingine anayokumbana na Kikwazo ni Shuleni pale anapowekwa kuwa Msaidizi wa kila kitu na Si kiongozi. Shuleni pia atakumbana na Changamoto za kimahusiano na watu wazima na hata kutishiwa pia kuwa asipofanya hiki anaweza asipate kile Mfano Chuoni.

Na hata Ngazi za Chini pia tumesikia kwenye taarifa za habari kuhusu watoto wa kike wanaopitia ukatili. Tuje kwenye suala la kutimiza ndoto zao baada ya Kuhitimu Masomo.

Ofisini pia kuna ukatili unaofanywa na Baadhi ya Mabosi wengi wa Kiume humpa mtoto wa kike masharti ili aweze kupata kazi.

Hii huumiza sana kiukweli na kumfanya mtu ashindwe kufanya kazi kwa amani na ufanisi.

Vivyo hivyo kwenye Vipaji ili uweze kutoka lazima ukutane na ukatili wa Kingono la sivyo hufanikiwi. Kwenye suala la Siasa pia Mtoto wa kike anakumbana na Changamoto ya kuaminika kuwa anaweza kuwa kiongozi ingawa kwa sasa hali inaendelea kuimarika.

Kuna mambo mengi tu yanayofanya mtoto wa kike kushindwa kutimiza malengo yake na hata ikitokea ametimiza basi wengi watajiuliza amewezaje.

Tumpe nafasi na tumuamini Mtoto wa Kike anaweza.
 
Hii iko wazi kuwa Mtoto wa Kike anakumbana na Vikwazo vingi sana hadi kutimiza ndoto zake. Vikwazo hivo huanzia Pale tu anapozaliwa katika familia ambazo zilihitaji Mtoto wa Kiume kuwa wa Kwanza ili kupata mtoto wa kuendeleza ukoo na kurithi mali.

Basi huanza kubaguliwa kuanzia hapo yeye na mama yake na hata mitandaoni tunasoma story nyingi tu zinazohusu ubaguzi wa mtoto wa kike.

Ngazi nyingine anayokumbana na Kikwazo ni Shuleni pale anapowekwa kuwa Msaidizi wa kila kitu na Si kiongozi. Shuleni pia atakumbana na Changamoto za kimahusiano na watu wazima na hata kutishiwa pia kuwa asipofanya hiki anaweza asipate kile Mfano Chuoni.

Na hata Ngazi za Chini pia tumesikia kwenye taarifa za habari kuhusu watoto wa kike wanaopitia ukatili. Tuje kwenye suala la kutimiza ndoto zao baada ya Kuhitimu Masomo.

Ofisini pia kuna ukatili unaofanywa na Baadhi ya Mabosi wengi wa Kiume humpa mtoto wa kike masharti ili aweze kupata kazi.

Hii huumiza sana kiukweli na kumfanya mtu ashindwe kufanya kazi kwa amani na ufanisi.

Vivyo hivyo kwenye Vipaji ili uweze kutoka lazima ukutane na ukatili wa Kingono la sivyo hufanikiwi. Kwenye suala la Siasa pia Mtoto wa kike anakumbana na Changamoto ya kuaminika kuwa anaweza kuwa kiongozi ingawa kwa sasa hali inaendelea kuimarika.

Kuna mambo mengi tu yanayofanya mtoto wa kike kushindwa kutimiza malengo yake na hata ikitokea ametimiza basi wengi watajiuliza amewezaje.

Tumpe nafasi na tumuamini Mtoto wa Kike anaweza.
Hahaha
 
Siku hizi kuna makondakta wa daladala ni wanawake huruma naona mimi
 
Nadhani ni ubishi tu wa wanadamu ila asili inanafasi yake nadhani ni vizuri iheshimiwe.

Kuna mateso mengi ambayo mwanamke anayopitia kwa kutaka kufanana na mwanaume either kwa sababu ya mazingira magumu yalitengenezwa au wakati mwingine kwa kujitakia ila lazima tukubali mwanamke hajaumbwa kwa ajili ya shuruba. Mwanamke anafaa sana kwa vitu soft haya magumu magumu unaona kabisa hapa anastruggle
 
Tatizo la wanawake ni ubishi na ujuaji, acha iyo 50/50 iwanyooshe.!!
 
Hii iko wazi kuwa Mtoto wa Kike anakumbana na Vikwazo vingi sana hadi kutimiza ndoto zake. Vikwazo hivo huanzia Pale tu anapozaliwa katika familia ambazo zilihitaji Mtoto wa Kiume kuwa wa Kwanza ili kupata mtoto wa kuendeleza ukoo na kurithi mali.

Basi huanza kubaguliwa kuanzia hapo yeye na mama yake na hata mitandaoni tunasoma story nyingi tu zinazohusu ubaguzi wa mtoto wa kike.

Ngazi nyingine anayokumbana na Kikwazo ni Shuleni pale anapowekwa kuwa Msaidizi wa kila kitu na Si kiongozi. Shuleni pia atakumbana na Changamoto za kimahusiano na watu wazima na hata kutishiwa pia kuwa asipofanya hiki anaweza asipate kile Mfano Chuoni.

Na hata Ngazi za Chini pia tumesikia kwenye taarifa za habari kuhusu watoto wa kike wanaopitia ukatili. Tuje kwenye suala la kutimiza ndoto zao baada ya Kuhitimu Masomo.

Ofisini pia kuna ukatili unaofanywa na Baadhi ya Mabosi wengi wa Kiume humpa mtoto wa kike masharti ili aweze kupata kazi.

Hii huumiza sana kiukweli na kumfanya mtu ashindwe kufanya kazi kwa amani na ufanisi.

Vivyo hivyo kwenye Vipaji ili uweze kutoka lazima ukutane na ukatili wa Kingono la sivyo hufanikiwi. Kwenye suala la Siasa pia Mtoto wa kike anakumbana na Changamoto ya kuaminika kuwa anaweza kuwa kiongozi ingawa kwa sasa hali inaendelea kuimarika.

Kuna mambo mengi tu yanayofanya mtoto wa kike kushindwa kutimiza malengo yake na hata ikitokea ametimiza basi wengi watajiuliza amewezaje.

Tumpe nafasi na tumuamini Mtoto wa Kike anaweza.

Kama kazaliwa na Mzazi asiyejielewa!
 
Back
Top Bottom