Kadhia ya Umeme: Waongo Wazoefu Waachie Ngazi

Kadhia ya Umeme: Waongo Wazoefu Waachie Ngazi

brazaj

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2016
Posts
31,698
Reaction score
41,733
Mada mbili hizi zinajielekeza wazi nini kifanyike sasa kwa maslahi ya taifa:

#1: Mheshimiwa Majaliwa juzi alituhakikishia upo umeme wa kutosha:

IMG_20211118_181728_474.jpg


#2: Tanesco leo wanatutaarifu kuwa umeme hautoshi:

IMG_20211118_151057_796.jpg


Ya nini kumung'unya maneno?

Pana mtu hapa amejipambanua kuwa mwongo mzoefu. Haonyeshi hata kujutia anapodanganya hadharani.

Kwa kuyazingatia maadili ya uongozi, waongo wazoefu hawa akiwamo yeyote hapa na aelekezwe kuachia ngazi sasa.

Leo umeme na maji si Dar peke yake, nchi nzima kasoro Zanzibar?

Kwa hakika hawana jipya.

--------
Tathmini: Shida ya maji hadi ziwa Victoria?

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa: Wawekezaji njooni tuna umeme wa kutosha
 
_ Yaani karne ya 21 mvua kuchelewa wiki 2 tu binadamu anayeishi ukanda wa maziwa makuu anaemiliki ardhi yenye gas anakosa umeme na maji..?

_ Kama huu sio ushuhuda wa uwepo wa ujinga, basi ujinga haupo.

Ngoja wamalize kununua madege kwa cash money kwanza
 
Hahahaha umemkwepa makamba? Kweli dogo ana nyota
 
Hahahaha umemkwepa makamba? Kweli dogo ana nyota

Ongezea palipopungua mjomba. Ila:

1. Tunanunua madege
2. Zanzibar wako vizuri ki Chatto Chatto
3. Waongo wanapiga piga domo tu
4. Mahakamani, bungeni, polisi na kote ndiyo kama tunavyoona.

Kusema na bosi mwenyewe wewe waona muhani?
 
Makamba nae alituambia umeme ulikuwa haukatiki wakati wa Magufuli kwasababu ya ukali wake, kama issue ni ukali kwanini nae asiwe mkali ili umeme uwake? kwamba anathibitisha huu mgao unasababishwa na ujanja ujanja waliozoea toka enzi za Msoga

Zitto nae anatetea anasema umeme ulikuwa hauzalishwi wakati wa Magufuli, kama ulikuwa hauzalishwi mbona ulikuwa haukatiki? ina maana matumizi ya umeme yameongezeka baada ya Magufuli kufariki?

Wajuaji wengine nao wanasema tatizo umeme wa maji ni asilimia chache, kama umeme wa maji ni asilimia ndogo hautoshi matumizi kwa kwanini wakati wa Magufuli licha ya hizo % chache zinazozalishwa za maji bado umeme ulikuwa haukatiki?

Hawa wanasiasa matapeli na genge lao sio wakuwaamini kabisa, wanatuchezea akili wakidhani tu watoto wadogo, tumerudishwa kwenye circle ya wapigaji, wanaforce project zao za LNG zianze mapema.
 
Makamba nae alituambia umeme ulikuwa haukatiki wakati wa Magufuli kwasababu ya ukali wake, kama issue ni ukali kwanini nae asiwe mkali ili umeme uwake? kwamba anathibitisha huu mgao unasababishwa na ujanja ujanja waliozoea toka enzi za Msoga

Zitto nae anatetea anasema umeme ulikuwa hauzalishwi wakati wa Magufuli, kama ulikuwa hauzalishwi mbona ulikuwa haukatiki? ina maana matumizi ya umeme yameongezeka baada ya Magufuli kufariki?

Wajuaji wengine nao wanasema tatizo umeme wa maji ni asilimia chache, kama umeme wa maji ni asilimia ndogo hautoshi matumizi kwa kwanini wakati wa Magufuli licha ya hizo % chache zinazozalishwa za maji bado umeme ulikuwa haukatiki?

Hawa wanasiasa matapeli na genge lao sio wakuwaamini kabisa, wanatuchezea akili wakidhani tu watoto wadogo, tunerudishwa kwenye circle ya wapigaji.

Vipaumbele vimehamia Zanzibar. Kwa hakika kama Chatto wataula sana:

Rais Samia awapa shavu Wazanzibar: Ajira asilimia 21 za Muungano kuwa za Wazanzibar

Zitto atasema nini wakati kina Jussa ndiyo wameshafika bei?

Hadi 2030 Zanzibar itakuwa daraja za Mauritius au Mayotte.
 
Makamba nae alituambia umeme ulikuwa haukatiki wakati wa Magufuli kwasababu ya ukali wake, kama issue ni ukali kwanini nae asiwe mkali ili umeme uwake? kwamba anathibitisha huu mgao unasababishwa na ujanja ujanja waliozoea toka enzi za Msoga

Zitto nae anatetea anasema umeme ulikuwa hauzalishwi wakati wa Magufuli, kama ulikuwa hauzalishwi mbona ulikuwa haukatiki? ina maana matumizi ya umeme yameongezeka baada ya Magufuli kufariki?

Wajuaji wengine nao wanasema tatizo umeme wa maji ni asilimia chache, kama umeme wa maji ni asilimia ndogo hautoshi matumizi kwa kwanini wakati wa Magufuli licha ya hizo % chache zinazozalishwa za maji bado umeme ulikuwa haukatiki?

Hawa wanasiasa matapeli na genge lao sio wakuwaamini kabisa, wanatuchezea akili wakidhani tu watoto wadogo, tumerudishwa kwenye circle ya wapigaji, wanaforce project zao za LNG zianze mapema.
Hata Kalemaleni angekuwa waziri wa nishai, tusingekuwa na mgao wa umeme, mgo huu unagtengenezwa na wapigaji akina marope na akina mabinzi,hawa ni wazoefu wa kupiga dili kubwa kubwa,haya ni maandalizi tu ya kutuweka sawa, muda si mrefu utasikia wanarudishwa akina Richmond,IPTL Agreco na si mumeona kwenye bodi yupo yule wakili aliyeiangamiza Tanesco.
 
Back
Top Bottom