Kadhia ya utekaji kwanini Serikali imeshindwa?

Kadhia ya utekaji kwanini Serikali imeshindwa?

Father of All

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2012
Posts
7,672
Reaction score
9,039
Wapo wengi kama mimi wanaoshangaa ni kwanini utekaji unazidi kuongezeka na kugeuka donda ndugu.

Je, serikali imeshindwa kweli au kuna namna?

Je, huyu mbeba moano ameshindwa kuona namna wananchi wasio na hatia wanavyoteswa na kudhulumiwa hata uhai wao?

Je, hawa watekaji wamegeuka serikali ndani ya serikali?

Kwanini karibia wote wanaotekwa ni kutoka upinzani?

Je, wananchi waanze kulipiza kisasi kwa kuwateka hawa mahabithi wanaowateka?

Watanzania tujadiliane namna ya kujiokoa na janga hili maana hatujui nani atatekwa kesho. Juzi tulimzika mzee Kibao.

Leo tunaongelea kutekwa kwa Nondo. Nani ajuaye kesho?
 
Vipi kama hiyo serikali yenyewe ndiyo inahusika na huo utekaji? Unafikiri itaweza kujitibu? Dawa hapo ni kwa wananchi kutumia tu njia kama ile ya yule mfanyabiashara wa mabasi, wa Mara anayeitwa Zakaria.
 
Wapo wengi kama mimi wanaoshangaa ni kwanini utekaji unazidi kuongezeka na kugeuka donda ndugu. Je serikali imeshindwa kweli au kuna namna? Je huyu mbeba moano ameshindwa kuona namna wananchi wasio na hatia wanavyoteswa na kudhulumiwa hata uhai wao? Je hawa watekaji wamegeuka serikali ndani ya serikali? Kwanini karibia wote wanaotekwa ni kutoka upinzani? Je wananchi waanze kulipiza kisasi kwa kuwateka hawa mahabithi wanaowateka? Watanzania tujadiliane namna ya kujiokoa na janga hili maana hatujui nani atatekwa kesho. Juzi tulimzika mzee Kibao. Leo tunaongelea kutekwa kwa Nondo. Nani ajuaye kesho?
IGP atumbuliwe
Waziri ya mambo ya ndani atumbuliwe
Na wengine wote makamishina waondolewe hatuwezi kuwa na taifa watu wanakufa na hakuna taarifa kamili
 
Wapo wengi kama mimi wanaoshangaa ni kwanini utekaji unazidi kuongezeka na kugeuka donda ndugu. Je serikali imeshindwa kweli au kuna namna? Je huyu mbeba moano ameshindwa kuona namna wananchi wasio na hatia wanavyoteswa na kudhulumiwa hata uhai wao? Je hawa watekaji wamegeuka serikali ndani ya serikali? Kwanini karibia wote wanaotekwa ni kutoka upinzani? Je wananchi waanze kulipiza kisasi kwa kuwateka hawa mahabithi wanaowateka? Watanzania tujadiliane namna ya kujiokoa na janga hili maana hatujui nani atatekwa kesho. Juzi tulimzika mzee Kibao. Leo tunaongelea kutekwa kwa Nondo. Nani ajuaye kesho?
Parallel State.....Polepole alisema serikali imepigwa copy
 
Wao ndio
Wapo wengi kama mimi wanaoshangaa ni kwanini utekaji unazidi kuongezeka na kugeuka donda ndugu. Je serikali imeshindwa kweli au kuna namna? Je huyu mbeba moano ameshindwa kuona namna wananchi wasio na hatia wanavyoteswa na kudhulumiwa hata uhai wao? Je hawa watekaji wamegeuka serikali ndani ya serikali? Kwanini karibia wote wanaotekwa ni kutoka upinzani? Je wananchi waanze kulipiza kisasi kwa kuwateka hawa mahabithi wanaowateka? Watanzania tujadiliane namna ya kujiokoa na janga hili maana hatujui nani atatekwa kesho. Juzi tulimzika mzee Kibao. Leo tunaongelea kutekwa kwa Nondo. Nani ajuaye kesho?
Siyo kwamba wameshindwa, bali wao ndio wanaopanga, wanaoelekeza na kufadhili utekaji
 
Wapo wengi kama mimi wanaoshangaa ni kwanini utekaji unazidi kuongezeka na kugeuka donda ndugu. Je serikali imeshindwa kweli au kuna namna? Je huyu mbeba moano ameshindwa kuona namna wananchi wasio na hatia wanavyoteswa na kudhulumiwa hata uhai wao? Je hawa watekaji wamegeuka serikali ndani ya serikali? Kwanini karibia wote wanaotekwa ni kutoka upinzani? Je wananchi waanze kulipiza kisasi kwa kuwateka hawa mahabithi wanaowateka? Watanzania tujadiliane namna ya kujiokoa na janga hili maana hatujui nani atatekwa kesho. Juzi tulimzika mzee Kibao. Leo tunaongelea kutekwa kwa Nondo. Nani ajuaye kesho?
Serikali ina mkono mrefu, serikali ina macho makubwa, serikali ni juu ya kila kitu. Kwa hiyo haiwezi kushindwa kuwashughurikia wavunjifu wa amani.
 
Kitendo Cha waziri WA mambo ya ndani kutoka kundi la watu 1.5 m kupewa rungu kulinda kundi la watu 60, shida ilianzia hapo.

Waziri WA mambo ya ndani inatakiwa atokee Tarime,Mkoa wa Mara .

Full stop.
 
Wapo wengi kama mimi wanaoshangaa ni kwanini utekaji unazidi kuongezeka na kugeuka donda ndugu. Je serikali imeshindwa kweli au kuna namna? Je huyu mbeba moano ameshindwa kuona namna wananchi wasio na hatia wanavyoteswa na kudhulumiwa hata uhai wao? Je hawa watekaji wamegeuka serikali ndani ya serikali? Kwanini karibia wote wanaotekwa ni kutoka upinzani? Je wananchi waanze kulipiza kisasi kwa kuwateka hawa mahabithi wanaowateka? Watanzania tujadiliane namna ya kujiokoa na janga hili maana hatujui nani atatekwa kesho. Juzi tulimzika mzee Kibao. Leo tunaongelea kutekwa kwa Nondo. Nani ajuaye kesho?

Hawajashindwa, bali serekali ndio wanaopanga na kuendesha utekaji.
 
Kuna kipindi Rais Mwinyi, aliwahi kuwa waziri wa mambo ya ndani!!!

Yalitokea mauaji!

Kuna kipindi mrema alikuwa waziri WA mambo ya Ndani, nchi ilitulia
Sasa katiba ni mbovu, wizara nyeti anapewa mjinga fulani
 
Watekaji ni Serikali,ila ninachowaonya serikali kama wanafikiria hiyo mbinu ndio itawanyamazisha wakosoaji wa serikali basi wameshida ila ina madhara hasa kwa wawekezaji.Nipo hapa ofisini na mwekezaji moja ya risk alizoweka kwenye uwekezaji wake na namna ya kukabiliana nao(mitigation plan) ni kufungiwa bank account na serkali any time(so kwa ufupi tu amejiwekea kuwa kila fedha atakayoipata anahamishia kwa account yake ya nje) ingawa nimeona serikali imesema hakuna kufungia account za watu but wanasema na hawatekelezi kwani hata sheria inayowaruusu kufunga au kupora fedha kwenye account za watu bado haijabadilishwa na ya pili ni USALAMA Mdogo kwani vyombo vya usalama vimekuwa sehemu ya "kuteka" watu tena mchana kweupe.Na hata waliotekwa wengine hawajulikani walipo na serikali haionyeshi kujali au kutoa maelezo ya uchunguzi wao hivyo wawekezaji wanaona kuna weza kuibuka genge la waalifu na kutumia mwanya huo huo na watu wasielewe kipi ni kipi so some of mitigation plan yao ni (***)nisitoe siri ya kambi
 
Wapo wengi kama mimi wanaoshangaa ni kwanini utekaji unazidi kuongezeka na kugeuka donda ndugu. Je serikali imeshindwa kweli au kuna namna? Je huyu mbeba moano ameshindwa kuona namna wananchi wasio na hatia wanavyoteswa na kudhulumiwa hata uhai wao? Je hawa watekaji wamegeuka serikali ndani ya serikali? Kwanini karibia wote wanaotekwa ni kutoka upinzani? Je wananchi waanze kulipiza kisasi kwa kuwateka hawa mahabithi wanaowateka? Watanzania tujadiliane namna ya kujiokoa na janga hili maana hatujui nani atatekwa kesho. Juzi tulimzika mzee Kibao. Leo tunaongelea kutekwa kwa Nondo. Nani ajuaye kesho?
Kwasababu serikali ndio watekaji wenyewe
 
Ukiona Polisi wameshindwa kuzuia au kutatua jambo ujue wamefanya wao, au moja ya vyombo vingine vya ulinzi
 
Back
Top Bottom