Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 57,951
- 32,619
Ayawi ayawi yamekuwa
kadi 400 za waanachama wa ccm feki zimekamatwa ktk kinyanganyiro cha uchaguzi ilala jangwani huku wakilalama iweje uchaguzi ukafanyike nyumbani kwa mjumbe;;matatizo haya yameonyesha ni jinsi gani sisiem inavyotuibia kwenye uchaguzi kama uchaguzi unaowahusu wenyewe kujiibia wenyewe kwa wenyewe...hii ni hatari;mbaya zaidi wanachama wakawakamata wahusika wakaambiwa wameletewa kadi usiku wa manane na mjumbe ..ndio maana tuko hapa kweli atuhusiki na wengine tunakaa mbali kabisa tumeletewa kadi tuwahi...hii ndio ccm...
kadi 400 za waanachama wa ccm feki zimekamatwa ktk kinyanganyiro cha uchaguzi ilala jangwani huku wakilalama iweje uchaguzi ukafanyike nyumbani kwa mjumbe;;matatizo haya yameonyesha ni jinsi gani sisiem inavyotuibia kwenye uchaguzi kama uchaguzi unaowahusu wenyewe kujiibia wenyewe kwa wenyewe...hii ni hatari;mbaya zaidi wanachama wakawakamata wahusika wakaambiwa wameletewa kadi usiku wa manane na mjumbe ..ndio maana tuko hapa kweli atuhusiki na wengine tunakaa mbali kabisa tumeletewa kadi tuwahi...hii ndio ccm...