Kadi maalum zitumike kupanda/kulipia SGR

Kadi maalum zitumike kupanda/kulipia SGR

Andrew123

JF-Expert Member
Joined
Jun 2, 2012
Posts
8,358
Reaction score
10,976
1. Haya mambo ya Ticket za karatasi ndio maana watu wanapanda Dar-Dodoma kwa 1,000 Tsh.

2. Weka mfumo wa kulipa kwa Kadi maalum ya SGR mtu ana-scan gate linafunguka na akifika hatoki mpaka a-scan Kadi Yake. Nimeona nchi nyingi wakifanya hivyo. Na inspector awepo. Ukibambwa faini x100 ya nauli halisi.

NB: vinginevyo mnalea wahuni wenzenu
 
Xpress dar dom sgr ni bei gan na inaenda kwa muda gani?
 
1. Haya mambo ya Ticket za karatasi ndio maana watu wanapanda Dar-Dodoma kwa 1,000 Tsh.

2. Weka mfumo wa kulipa kwa Kadi maalum ya SGR mtu ana-scan gate linafunguka na akifika hatoki mpaka a-scan Kadi Yake. Nimeona nchi nyingi wakifanya hivyo. Na inspector awepo. Ukibambwa faini x100 ya nauli halisi.

NB: vinginevyo mnalea wahuni wenzenu
Hata za karatasi zinaweza kufungua geti
 
Tanganyika hakuna mradi unaosimamiwa na serikali unaokuwa na utaratibu na huduma nzuri angalia mwendokasi ikoje? Kulikuwa na haja gani kwa mradi mkubwa kama ule kushindwa kuwa na huduma bora? Hata hiyo sgr bado ndo kwanza imeanza lakini mapungufu ni mengi kupita kiasi na sitarajii kuwa wataboresha badala yake itakuwa kinyume chake labda kama serilali iliyo madarakan ikibadilika angalau huyo atakaekuwa ameingia madarakani anaweza kufanya tofauti ingawa sio rahisi kubadili hiyo serikali
 
Back
Top Bottom