Resilience
JF-Expert Member
- Jan 4, 2023
- 1,096
- 4,948
Passport ya Tanzania unapata ndani ya siku moja baada data kuingizwa kwenye mtambo. Benki kadi unapata ndani ya masaa kadhaa, najiuliza hii kadi ya NIDA ina teknolojia gani ngumu hadi ukae mwaka bila kuprint kitambulisho?
Lakini kama wenye namba ya NIDA wanapata huduma zote kwanini tunaamini tunahitaji uwekezaji mkubwa kwenye Vitambulisho? Kwanini wananchi wasiachwe wakaprint kwenye pvc cards kama zamani kupunguza gharama za serikali?
Ukiwa na namba means una ID, tubadili fikra teknolojia inabadilika sana. Tuondoe viongozi mzigo ,naamini Mchechu akienda NIDA au wakipata waziri kama Bashe hili tatizo litaisha
Lakini kama wenye namba ya NIDA wanapata huduma zote kwanini tunaamini tunahitaji uwekezaji mkubwa kwenye Vitambulisho? Kwanini wananchi wasiachwe wakaprint kwenye pvc cards kama zamani kupunguza gharama za serikali?
Ukiwa na namba means una ID, tubadili fikra teknolojia inabadilika sana. Tuondoe viongozi mzigo ,naamini Mchechu akienda NIDA au wakipata waziri kama Bashe hili tatizo litaisha