Kadi ya umiliki wa chombo cha moto

shatisuruali

JF-Expert Member
Joined
Jul 28, 2016
Posts
921
Reaction score
2,842
Wadau vipi,
Je? Naruhusiwa kufanyia lamination kadi ya umiliki wa chombo cha moto?
Pia Kuna kadi naziona (siyo original) zimesainiwa sijui na trafiki (sina hakika) kama certified copy, Je taratibu ziko vipi na wapi naweza kufanya hivyo?

Msaada wenu tafadhali
 
1.Hapana uruhisiwi... Copy ndiyo unaifanyia lamination...


2. Nenda na origina yako kwenye ofisi za TRA watatoa copy na watai certifiy.. Kukupigia muhuri na kukuwekea vi stamp... Hiyo ndiyo utaifanyia lamination...
 
1.Hapana uruhisiwi... Copy ndiyo unaifanyia lamination...


2. Nenda na origina yako kwenye ofisi za TRA watatoa copy na watai certifiy.. Kukupigia muhuri na kukuwekea vi stamp... Hiyo ndiyo utaifanyia lamination...
Nashukuru mkuu.. Ubarikiwe
 

unaruhusiwa buana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…