Elections 2010 Kadi za CHADEMA kumbe feki; KIKWETE adanganywa tena

Nina hazina ya picha zake nasubiria wanichokoze wale jamaa niweke picha za mkuu akiwa kihasara hasara na Eva wa Arusha !

.....nakuaminia mkubwa......! nimeona Malaria sugu inajitahidi kuja kivingine vingine.....he!he!
 
Kumbe hata wengine waliona, kadi mpyaaaaaaa! Propaganda zingine jamani!

Ila kutumia CHADEMA means wanakiogopa chama cha bwana SILAHA.
 


Subiri nikupostie evidence ya gazeti moja la mwaka jana kwamba wale walikuwa kweli viongozi wa CHADEMA,tena wa kutegemewa hasa Ipyana.
 
Huna lolote wewe, Zipo picha za Huyo mgombea wenu akila d*nda na mke wa mtu weka za huyo aliyekaa kihasara hasara uuone moto



Mke wa mtu unasema wewe? mbona mumewe halalamiki?Hamuoni haibu.Tukiingiza mjadala huo Sidhani kama Page zitatosha za mkwere na makamba,Ni heri huyu wa kwetu ameweka hadharani ,mbona mumewe hakuweka pingamizi ?Hatudanganyiki.

Wao wameelewana na kuwekana hadharani hiyo ndiyo nidhamu nzuri kwa viongozi na uwazi unaotakiwa.
 
Huyu ni baba yetu na haya ni maziwa yetu HUYU NDIYE RAIS WA TANZANIA i can't beleive na watanzania bado tunamwamini.





 
Huna lolote mchungaji feki...............weka hizo picha kama unazo! CHADEMA mnataka kutujengea imani kuwa ni chama cha wambeatu!

Hivi ile picha iliyofanya ZEUTAMU kufungwa ilikuwa inahusu nini tehe tehe tehe
Pemba wakiona wazee watasema yakheee hakuna rais pale ,hapati kura yangu ahaaaaaaaaaaaaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…