Next Level
JF-Expert Member
- Nov 17, 2008
- 3,153
- 180
Nina hazina ya picha zake nasubiria wanichokoze wale jamaa niweke picha za mkuu akiwa kihasara hasara na Eva wa Arusha !
.....nakuaminia mkubwa......! nimeona Malaria sugu inajitahidi kuja kivingine vingine.....he!he!
Huna lolote mchungaji feki...............weka hizo picha kama unazo! CHADEMA mnataka kutujengea imani kuwa ni chama cha wambeatu!
Huna lolote mchungaji feki...............weka hizo picha kama unazo! CHADEMA mnataka kutujengea imani kuwa ni chama cha wambeatu!
mdomo kumbe unatumika ku type eeeh....
Tanzania daima leo imeripoti kuwa, imegundulika kuwa wanachama 400 wa CHADEMA waliorejesha kadi zao kwa KIKWETE na kukabidhiwa za CCM, kumbe ni mamluki na kadi zilikuwa feki. Hata viongozi waliosema wamejiunga na CCM kumbe sio kweli, walikuwa wameshafukuzwa kutoka CHADEMA long time.
Mkuu kadanganywa, kacheka hadi jino la IDD linaonekana...
Nadhani Guiness wanatakiwa wamrekodi katika kitabu chao, probably ndiye raisi anayeongoza kwa kudangaywa...
Simshangai huyu!
Huna lolote wewe, Zipo picha za Huyo mgombea wenu akila d*nda na mke wa mtu weka za huyo aliyekaa kihasara hasara uuone moto
Ataumbuka mgombea wenu mzinzi
Huna lolote mchungaji feki...............weka hizo picha kama unazo! CHADEMA mnataka kutujengea imani kuwa ni chama cha wambeatu!