Kafara la kukimbiza moto linavyoligharimu Taifa

[emoji44][emoji44][emoji44]moto ni kama kisu inategemea utakitumiaje
Mshana Jr; wacha nikupe ushuhusa kidogo kuhusu MOTO. kuna siku weekend nikapigiwa simu na vijana wa kazi kwamba dada wa kazi anajipigiza hovyo hovyo...mama alikiwa kazini hajarudi ...nikawasha kigari changu fasta home kichwani nipo fit..si unajua tena weekend.

Kufika pale kweli namkuta dada anajipigiza hovyo hovyo nikajua huyu anakufa...mtu anajigonga ukutani, mezani , sakafuni...wanangu wanalia tu dadaa dadaaa...

Nikaona haya ni mapepo sasa nikaona ni muda sasa wa kuuinua ukristo wangu...(imani yangu ikaingia kazini ghafla)

Alivyojipigiza kichwa kwenye sakafu pale pale nikakandamiza kichwa na shingo nikaanza kukemea kwa damu ya YESU wewe pepo mchafu huna mamlaka kwa binti huyu...wewe ni kiumbe dhaifu usiye na mwili....tokaaa....tokaaaa ....tokaaa.

Weeee ni balaa!!... Moto ukawaka pale nani mshindi mimi ama like pepo...tukaendelea kama dakika tano hivi na mimi sikubali maana kichwani ninazo za weekend zinanipa nguvu..

Baadae nasikia tupe farasi na mkuki wetu... hatuondoki tupatie farasi wetu na mkuki....

Hapo hapo nikaona aaa kumbe kwenye ulimwengu wa roho nimeshashinda hadi nimewanyanganya silaha zao hawa mapepo...nikazidisha kwa damu ya Yesu huna mamlaka....

Aisee nikaona dada akalala hoi...nikamwacha...watoto hawaamini....

asiyeamini na aamini kwamba roho mtakatifu ni MOTO...jina la Yesu ni MOTO...ni Upanga mkali hatari na hakuna pepo linapenda kusikia ukitamka hilo jina...ukitaka we jaribu uone shughuli yake.

Lakini watu wajue vile vile kwamba kwenye ulimwengu wa GIZA MOTO unatumika pia.
 
Faraja ganzo ni babu yangu

Nyie endeleen kunitania mtakuja kulia hayaa !!
 
Mwenge upo kishirikina zaidi, una mambo mengi mazito ya nguvu za giza......ngoja niishie hapo
 
Mbona Jordan Rugimbana alikimbiza huo mwenge miaka ya 2000 mpaka kesho yupo.
Pia yupo Francis Isack na Emanuel Nchimbi kwa miaka tofauti iliyopita waliwahi kuwa viongozi wa mbio za mwenge na bado wapo hai hadi sasa
 
2016 the budget for this stupid thing was 220 billions, I don’t know what is the budget for this year.

 
2016 the budget for this stupid thing was 220 billions, I don’t know what is the budget for this year.
[emoji44][emoji44][emoji44][emoji44][emoji87][emoji87][emoji87][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji144][emoji144][emoji144][emoji40]
 
Reactions: BAK
Sababu mbili tu unafukuzwa kazi Barua inafata baadae kwa watumishi wa Umma ni MWENGE na MITIHANI haoa hakuna mchakato wa nidhamu.

Ndo ujue Mwenge unavyosujudiwa[emoji35][emoji35]
 
Jamaa anatabia ya kulisha watu matango pori. Kama ni kafara basi kila anayekimbiza anapaswa kufa. Huyu uliyemtaja yupo toka mwaka 2000 mpaka leo ni miaka 19 yeye kwa nini hajafa?

Pia hakuna bajeti ya kukimbiza mwenge ambayo ipo inapitishwa bungeni. Ni michango toka kwa watu na makundi mbalimbali. Mshana anaamini humu wote ni ni watoto.anakosea sana.

Mbona Jordan Rugimbana alikimbiza huo mwenge miaka ya 2000 mpaka kesho yupo.
 
Sababu mbili tu unafukuzwa kazi Barua inafata baadae kwa watumishi wa Umma ni MWENGE na MITIHANI haoa hakuna mchakato wa nidhamu.

Ndo ujue Mwenge unavyosujudiwa[emoji35][emoji35]
[emoji44][emoji44][emoji44][emoji44][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji144][emoji144]
 
Mwambie. Jamaa anadhan wote humu ni watoto hawaelewi kama yeye.... Nmemsoma jjnsi anavyoandika uongo mpaka yeye mwenyewe anauamini.

Basi angetoa chanzo cha habari yake tukifaham pia. Mshana huwa anataka watu waamini yeye ni mtaalam wa mambo ya kiroho ndo maana huwa anakurupuka sana.


 
Got you bro nimekupata dhahiri shahiri
 
Yaani umeandika hivi tu na unataka wenye akili wakuamini? Kwa nini mnapenda kudharau akili za members humu ndani? Umekaa ukaandika hiyo figure halafu na sisi tukuunge mkono. Just like that?

2016 the budget for this stupid thing was 220 billions, I don’t know what is the budget for this year.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…