Komeo Lachuma
JF-Expert Member
- Oct 31, 2014
- 7,926
- 17,030
Imani za kishirikina zimekuwepo sana kwenye chaguzi zetu kuu. Sana.
Huu ni mwaka uelekeo wa uchaguzi Mkuu 2025. Kumekuwa na wimbi kubwa la watoto kuibwa na kuuawa. Mara nyingi sana tunasoma habari hizo.
Rais anasema ni drama. Imenishtua. Hasemi kuwa polisi wafanyie kazi hizo "tetesi" ikiwa si kweli. Anasema ni drama yaani ame conclude kuwa si kitu zipuuzwe. Tukifikia hatua ya kupuuza masuala yanayohusua watoto basi tumefikia hatua ya mwisho.
Naaanza kuwaza. Je Rais anajua kinachoendelea mpaka haoni kama ni suala la kulikodolea macho makali? Atakuwa anajua. Maana yeye hujua kila kitu.
Chaguzi zetu zina imani za kishirikina sana. Si kidogo. Hali ni mbaya wengi watakuambieni haya nayosema. Ushirikina upo kwa asilimia 80 katika siasa zetu. Na kafara zipo sana tu kulingana na ukubwa wa jambo husika.
Tukemee hali hii tusiache hili suala lipite tu juu juu.
Huu ni mwaka uelekeo wa uchaguzi Mkuu 2025. Kumekuwa na wimbi kubwa la watoto kuibwa na kuuawa. Mara nyingi sana tunasoma habari hizo.
Rais anasema ni drama. Imenishtua. Hasemi kuwa polisi wafanyie kazi hizo "tetesi" ikiwa si kweli. Anasema ni drama yaani ame conclude kuwa si kitu zipuuzwe. Tukifikia hatua ya kupuuza masuala yanayohusua watoto basi tumefikia hatua ya mwisho.
Naaanza kuwaza. Je Rais anajua kinachoendelea mpaka haoni kama ni suala la kulikodolea macho makali? Atakuwa anajua. Maana yeye hujua kila kitu.
Chaguzi zetu zina imani za kishirikina sana. Si kidogo. Hali ni mbaya wengi watakuambieni haya nayosema. Ushirikina upo kwa asilimia 80 katika siasa zetu. Na kafara zipo sana tu kulingana na ukubwa wa jambo husika.
Tukemee hali hii tusiache hili suala lipite tu juu juu.