KAFETERIA YA UCHUMI SUPERMARKET:Mnauza Chakula kilichooza!

KAFETERIA YA UCHUMI SUPERMARKET:Mnauza Chakula kilichooza!

and 300

JF-Expert Member
Joined
Jun 27, 2012
Posts
26,398
Reaction score
36,406
Leo nilienda Uchumi Supermarket pale Quality Plaza baada ya manunuzi kadhaa nikaamua nipate chakula cha mchana pale pale ndani kwenye Canteen/cafeteria yao..nikaagiza ugali kuku na mwenzangu akaagiza ugali beef tukaletewa duuh! kwanza nyama zilikuwa zinanuka kwa harufu mbaya na zikisindikizwa na jeshi la nzi na tuliporudisha kwa wahusika wakadai hawakubali kurudishiwa chakula baada ya kuuza ingawa hatukukigusa. tulianzisha tafrani mpaka tukarudishiwa pesa yetu. UCHUMI SUPERMARKET mmechemsha. huduma mbovu, customer service za ajabu zaidi wahudumu wenu wanaojidai ku-pack mizigo ya wateja wanaficha chini ya mifuko pale counter baadhi ya bidhaa za wateja na ikitokea mteja hajashtukia ndo imetoka hiyo. mimi walibana/walificha SET YA VISU, LOTIONS chupa 3. msipojirekebisha mtakimbiwa na wateja wote
 
Mkale kwa wake zenu mnajitanua mabega kwenda kula uchumi ...ptuuuh
 
thanks. UCHUMI Management please fix this mess before we quit.
 
Mkale kwa wake zenu mnajitanua mabega kwenda kula uchumi ...ptuuuh

Hivi hata mchana uko kwenye mihangaiko yako town na njaa inakuuma utakimbilia kula home hata kama ni mbali?
Na unafikiri wanawake wote ni wamama wa nyumbani?
Changanya na zako.....
 
Leo nilienda Uchumi Supermarket pale Quality Plaza baada ya manunuzi kadhaa nikaamua nipate chakula cha mchana pale pale ndani kwenye Canteen/cafeteria yao..nikaagiza ugali kuku na mwenzangu akaagiza ugali beef tukaletewa duuh! kwanza nyama zilikuwa zinanuka kwa harufu mbaya na zikisindikizwa na jeshi la nzi na tuliporudisha kwa wahusika wakadai hawakubali kurudishiwa chakula baada ya kuuza ingawa hatukukigusa. tulianzisha tafrani mpaka tukarudishiwa pesa yetu. UCHUMI SUPERMARKET mmechemsha. huduma mbovu, customer service za ajabu zaidi wahudumu wenu wanaojidai ku-pack mizigo ya wateja wanaficha chini ya mifuko pale counter baadhi ya bidhaa za wateja na ikitokea mteja hajashtukia ndo imetoka hiyo. mimi walibana/walificha SET YA VISU, LOTIONS chupa 3. msipojirekebisha mtakimbiwa na wateja wote
Usikute wahudumu ni watanzania. Ni wezi na wavivu kama nini.
tahadhari pia kwa wateja wa CRDB. Wale walinzi (nadhani ni sijui security group-siwakumbuki vizuri) ni wezi kinoma, wala usije jisahau ukaacha kitu wanaiba na hawakukumbushi.
 
uliwaambia pale pale au uliwaogopa ndo unakuja kusemea huku!!
 
Back
Top Bottom