Kafiri

nyiondo

Senior Member
Joined
Jan 14, 2013
Posts
149
Reaction score
24
Maana ya neno 'kafiri' ni mtu asiyeamini kuwa kuna Mungu.
Katika Biblia Takatifu 'makafiri' wanatajwa. Rejea kitabu cha maombolezo ya Jeremia 1:3 neno la Mungu linasema hivi:
"Yuda amehamishwa kwa sababu ya kuonewa, na kwa sababu ya utumwa mkuu; Anakaa kati ya makafiri, Haoni raha iwayo yote; Wote waliomfuata wamempata katika dhiki yake.+"

Kwa hiyo wanayoifungamanisha MAANA ya NENO 'KAFIRI' na WAKRISTO wanakosea kwa sababu hata WAKRISTO wanawatambua MAKAFIRI.
 
Kafiri ni m2 yeyote ambaye hapeleki kitimoto..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…