Kafulila hayo unayofanya yatakufikisha pakubwa baada ya uchaguzi mkuu 2025

Kafulila hayo unayofanya yatakufikisha pakubwa baada ya uchaguzi mkuu 2025

Pamoja na kuvurunda na kuendesha uwekezaji kienyeji na kutokuwa na mpango unaoeleweka vizuri wa PPPP, siasa unazofanya kumpamba mama zitakufanya upate cheo kikubwa baada ya uchaguzi wa mwezi October lakini watanzania watabaki wameambulia hewa tupu.
Ndugu Kafulila wewe hutaki kugombea Ubunge ili ushindane na wenzako hadi usubiri mbeleko ya Mama?
 
Pamoja na kuvurunda na kuendesha uwekezaji kienyeji na kutokuwa na mpango unaoeleweka vizuri wa PPPP, siasa unazofanya kumpamba mama zitakufanya upate cheo kikubwa baada ya uchaguzi wa mwezi October lakini watanzania watabaki wameambulia hewa tupu.
Bangi wakati wa jua zinachachamaa sana
 
Pamoja na kuvurunda na kuendesha uwekezaji kienyeji na kutokuwa na mpango unaoeleweka vizuri wa PPPP, siasa unazofanya kumpamba mama zitakufanya upate cheo kikubwa baada ya uchaguzi wa mwezi October lakini watanzania watabaki wameambulia hewa tupu.
Mimi nashauri aachwe hapo hapo PPP
 
Pamoja na kuvurunda na kuendesha uwekezaji kienyeji na kutokuwa na mpango unaoeleweka vizuri wa PPPP, siasa unazofanya kumpamba mama zitakufanya upate cheo kikubwa baada ya uchaguzi wa mwezi October lakini watanzania watabaki wameambulia hewa tupu.
Judge Werema (RIP)!
 
Pamoja na kuvurunda na kuendesha uwekezaji kienyeji na kutokuwa na mpango unaoeleweka vizuri wa PPPP, siasa unazofanya kumpamba mama zitakufanya upate cheo kikubwa baada ya uchaguzi wa mwezi October lakini watanzania watabaki wameambulia hewa tupu.
Waziri au??
 
Kafulila kashajua huko serikali kuna empty heads wengi sana. Kwa hiyo anawapa vireport vyake uchwara akijua hawawezi kujiongeza wakabaini ulaghai wake. Matokeo yake anajiona kwa yeye ni think tank wa serikali wa kutumainiwa
 
Kafulila kadhajua huko serikali kuna empty head wengi sana. Kwa hiyo anawapa vireport vyake uchwara akijua hawezi kujiongeza wakabaini ulaghai wake. Matokeo yake anajiona kwa yeye ni think tank wa serikali wa kutumainiwa
Kafulila aje kwenye siasa kama anaona anaweza
 
Kafulila aje kwenye siasa kama anaona anaweza
Kafufuli is not empty head nor empty set.
Ila sisi wasiwasi wa wananchi ni implementation ya miradi ya PPP.
Songas,IPTL,Dowans na mingi mingi kama Miradi ya dhahabu ni miradi ya kinyonyaji bila mwelekeo kama Congo DRC.
Tunachodai ni ukweli na uwazi wa mikataba ya umma.
Oversite committee ziwe za professinals sio vyama vya akina Lissu wanaotafuta mtaji wa kisiasa.
 
Pamoja na kuvurunda na kuendesha uwekezaji kienyeji na kutokuwa na mpango unaoeleweka vizuri wa PPPP, siasa unazofanya kumpamba mama zitakufanya upate cheo kikubwa baada ya uchaguzi wa mwezi October lakini watanzania watabaki wameambulia hewa tupu.
Upo sahihi maana udhaifu wa maza ni sifa
 
Kafulila kashajua huko serikali kuna empty heads wengi sana. Kwa hiyo anawapa vireport vyake uchwara akijua hawezi kujiongeza wakabaini ulaghai wake. Matokeo yake anajiona kwa yeye ni think tank wa serikali wa kutumainiwa
Umemaliza kila kitu, Kafulila ni tapeli haswa
 
Pamoja na kuvurunda na kuendesha uwekezaji kienyeji na kutokuwa na mpango unaoeleweka vizuri wa PPPP, siasa unazofanya kumpamba mama zitakufanya upate cheo kikubwa baada ya uchaguzi wa mwezi October lakini watanzania watabaki wameambulia hewa tupu.
Kafulila anazingua sana
 
Back
Top Bottom