Pamoja na kuvurunda na kuendesha uwekezaji kienyeji na kutokuwa na mpango unaoeleweka vizuri wa PPPP, siasa unazofanya kumpamba mama zitakufanya upate cheo kikubwa baada ya uchaguzi wa mwezi October lakini watanzania watabaki wameambulia hewa tupu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anajipigiaje kiki?Kafulila anapojipa kiki mwenyewe
Ndugu Kafulila wewe hutaki kugombea Ubunge ili ushindane na wenzako hadi usubiri mbeleko ya Mama?Pamoja na kuvurunda na kuendesha uwekezaji kienyeji na kutokuwa na mpango unaoeleweka vizuri wa PPPP, siasa unazofanya kumpamba mama zitakufanya upate cheo kikubwa baada ya uchaguzi wa mwezi October lakini watanzania watabaki wameambulia hewa tupu.
Bangi wakati wa jua zinachachamaa sanaPamoja na kuvurunda na kuendesha uwekezaji kienyeji na kutokuwa na mpango unaoeleweka vizuri wa PPPP, siasa unazofanya kumpamba mama zitakufanya upate cheo kikubwa baada ya uchaguzi wa mwezi October lakini watanzania watabaki wameambulia hewa tupu.
Mimi nashauri aachwe hapo hapo PPPPamoja na kuvurunda na kuendesha uwekezaji kienyeji na kutokuwa na mpango unaoeleweka vizuri wa PPPP, siasa unazofanya kumpamba mama zitakufanya upate cheo kikubwa baada ya uchaguzi wa mwezi October lakini watanzania watabaki wameambulia hewa tupu.
Judge Werema (RIP)!Pamoja na kuvurunda na kuendesha uwekezaji kienyeji na kutokuwa na mpango unaoeleweka vizuri wa PPPP, siasa unazofanya kumpamba mama zitakufanya upate cheo kikubwa baada ya uchaguzi wa mwezi October lakini watanzania watabaki wameambulia hewa tupu.
Waziri au??Pamoja na kuvurunda na kuendesha uwekezaji kienyeji na kutokuwa na mpango unaoeleweka vizuri wa PPPP, siasa unazofanya kumpamba mama zitakufanya upate cheo kikubwa baada ya uchaguzi wa mwezi October lakini watanzania watabaki wameambulia hewa tupu.
Kafulila aje kwenye siasa kama anaona anawezaKafulila kadhajua huko serikali kuna empty head wengi sana. Kwa hiyo anawapa vireport vyake uchwara akijua hawezi kujiongeza wakabaini ulaghai wake. Matokeo yake anajiona kwa yeye ni think tank wa serikali wa kutumainiwa
Kafufuli is not empty head nor empty set.Kafulila aje kwenye siasa kama anaona anaweza
Upo sahihi maana udhaifu wa maza ni sifaPamoja na kuvurunda na kuendesha uwekezaji kienyeji na kutokuwa na mpango unaoeleweka vizuri wa PPPP, siasa unazofanya kumpamba mama zitakufanya upate cheo kikubwa baada ya uchaguzi wa mwezi October lakini watanzania watabaki wameambulia hewa tupu.
Umemaliza kila kitu, Kafulila ni tapeli haswaKafulila kashajua huko serikali kuna empty heads wengi sana. Kwa hiyo anawapa vireport vyake uchwara akijua hawezi kujiongeza wakabaini ulaghai wake. Matokeo yake anajiona kwa yeye ni think tank wa serikali wa kutumainiwa
Hana mvuto kwa wananchi ni tapelitapeli tupuNdugu Kafulila wewe hutaki kugombea Ubunge ili ushindane na wenzako hadi usubiri mbeleko ya Mama?
Kafulila anazingua sanaPamoja na kuvurunda na kuendesha uwekezaji kienyeji na kutokuwa na mpango unaoeleweka vizuri wa PPPP, siasa unazofanya kumpamba mama zitakufanya upate cheo kikubwa baada ya uchaguzi wa mwezi October lakini watanzania watabaki wameambulia hewa tupu.