Kafulila: Kila mwaka Serikali inapata hasara kutokana na ufanisi mdogo. Sekta binafsi duniani inamiliki teknolojia kubwa kuliko Serikali

Kafulila: Kila mwaka Serikali inapata hasara kutokana na ufanisi mdogo. Sekta binafsi duniani inamiliki teknolojia kubwa kuliko Serikali

Mtanzania Tajiri

JF-Expert Member
Joined
Aug 31, 2024
Posts
341
Reaction score
319
IMG-20250107-WA0152.jpg

===
Akizungumza na Waheshimiwa madiwani wa Ilemela waliofika ofisini kwake kwaajili ya kujifunza mambo mbalimbali yahusuyo PPP kwenye kituo hicho cha PPPC Tanzània,

Mkurugenzi Mtendaji wa kituo hicho cha Ubia nchini Bw. David Kafulila amewaambia madiwani hao kuwa Serika inapata hasara kubwa karibu katika kila mwaka kwa sababu ya inefficiency ufanisi mdogo

Kafulila anasema duniani kote na Wala sio Tanzania tu Sekta binafsi ndio Sekta inayomiliki teknolojia ya kiwango cha juu zaidi ya Serikali ndio maana moja ya lengo la PPP ni kuvuta teknolojia toka kwa sekta binafsi.

Mkurugenzi Kafulila anaendelea kuwa kusema kwamba PPPC inavutia Wawekezaji kwa njia ya PPP ili kupata vitu vitatu muhimu,
|• Ilikupata Mtaji
||• Ilikupata teknolojia
|||• Ilikupata Ujuzi/Uzoefu







====
 
Leteni mabasi ya mwendokasi, raia wanateseka.
 
..Ikulu ibinafsishwe, wapewe Sector binafsi.
 
View attachment 3196268
===
Akizungumza na Waheshimiwa madiwani waliofika ofisini kwake kwaajili ya kujifunza maswala mbalimbali ya PPP Mkurugenzi Kafulila amesema Serika inapata hasara kubwa karibu kila mwaka kwa sababu ya kukosa efficiency.

Kafulila anasema duniani kote sekta binafsi ndio sekta inayomiliki teknolojia ya kiwango Cha juu.zaidi ya Serikali ndio maana moja ya lengo la PPP ni kuvuta teknolojia toka kwa sekta binafsi.

<<<<msikilize mpaka mwisho>>>>

View attachment 3196218
Asante Kafulila
 
View attachment 3196268
===
Akizungumza na Waheshimiwa madiwani waliofika ofisini kwake kwaajili ya kujifunza maswala mbalimbali ya PPP Mkurugenzi Kafulila amesema Serika inapata hasara kubwa karibu kila mwaka kwa sababu ya kukosa efficiency.

Kafulila anasema duniani kote sekta binafsi ndio sekta inayomiliki teknolojia ya kiwango Cha juu.zaidi ya Serikali ndio maana moja ya lengo la PPP ni kuvuta teknolojia toka kwa sekta binafsi.

<<<<msikilize mpaka mwisho>>>>

View attachment 3196218
Kazi nzuri
 
View attachment 3196268
===
Akizungumza na Waheshimiwa madiwani waliofika ofisini kwake kwaajili ya kujifunza maswala mbalimbali ya PPP Mkurugenzi Kafulila amesema Serika inapata hasara kubwa karibu kila mwaka kwa sababu ya kukosa efficiency.

Kafulila anasema duniani kote sekta binafsi ndio sekta inayomiliki teknolojia ya kiwango Cha juu.zaidi ya Serikali ndio maana moja ya lengo la PPP ni kuvuta teknolojia toka kwa sekta binafsi.

<<<<msikilize mpaka mwisho>>>>

View attachment 3196218
Sasa anamwambia nani hayo maneno.
 
Governance inefficiency katika eneo gani, utawala, utendaji au eneo gani la serikali anaona lina inefficiencies?

Watanzania wanaona Serikali yote imeoza, kama naye anakili holo aonyeshe ni wapi pafumuliwe, nakama naye haoni ni wapi basi naye hafai kuona mabovu ya wenzake.

Juzi tumesikia Mwiguliu akiisifu TRA kukusanya Matrilioni kwa miezi mitatu tu, sasa inefficiency inatoka wapi na pesa ndio kila kitu.

Kuna tatizo la kutokujua matatizo yetu, hili ndio kubwa, Kunatatizo la wizi hili nalo ni sugu, na kutokukuwajibika kwenye nafasi zao, matumizi mabaya ya fedha za umma, hayo kwa uchache.

Hawa watu wazima wenye madegree huko maofisini bado serikali inawanunulia magari, na kuwapa madereva. Wakati wanlipwa mishahara mikubwa na zile wao wanaita posho namarupurupu ya kumwaga.

Wanamagari yao binafsi wanaendesha uko mitaani, wakifika ofisini wanendeshwa kama viwete.

Mfanyakazi anafanya kazi mfano wizarani, kutwa kucha wanakimbia na magari barabarani wanenda wapi?

Lini wanatekeleza majukumu yao, Dunia ya utandawazi hii, kuna simu, na hata mikutano wanaweza kufanya kwa Zoom, lakini wao wanaona lazima wakutane watu 200 ukumbi wa mikutano wa kimataifa Arusha AICC.

Wanaenda kuazimia nini , matokeo ya mikutano hii hakuna, Ni kujilipa allowances tu, na kupiga soga, kwanini tusipate HASARA.

Tukiamua tunaweza.
 
View attachment 3196268
===
Akizungumza na Waheshimiwa madiwani waliofika ofisini kwake kwaajili ya kujifunza maswala mbalimbali ya PPP Mkurugenzi Kafulila amesema Serika inapata hasara kubwa karibu kila mwaka kwa sababu ya kukosa efficiency.

Kafulila anasema duniani kote sekta binafsi ndio sekta inayomiliki teknolojia ya kiwango Cha juu.zaidi ya Serikali ndio maana moja ya lengo la PPP ni kuvuta teknolojia toka kwa sekta binafsi.

<<<<msikilize mpaka mwisho>>>>

View attachment 3196218
Dalali wa Adani group.
 
View attachment 3196268
===
Akizungumza na Waheshimiwa madiwani waliofika ofisini kwake kwaajili ya kujifunza maswala mbalimbali ya PPP Mkurugenzi Kafulila amesema Serika inapata hasara kubwa karibu kila mwaka kwa sababu ya kukosa efficiency.

Kafulila anasema duniani kote sekta binafsi ndio sekta inayomiliki teknolojia ya kiwango Cha juu.zaidi ya Serikali ndio maana moja ya lengo la PPP ni kuvuta teknolojia toka kwa sekta binafsi.

<<<<msikilize mpaka mwisho>>>>

View attachment 3196218
Kafulira ndio Mwalimu wa PPP? Upuuzi
 
View attachment 3196268
===
Akizungumza na Waheshimiwa madiwani waliofika ofisini kwake kwaajili ya kujifunza maswala mbalimbali ya PPP Mkurugenzi Kafulila amesema Serika inapata hasara kubwa karibu kila mwaka kwa sababu ya kukosa efficiency.

Kafulila anasema duniani kote sekta binafsi ndio sekta inayomiliki teknolojia ya kiwango Cha juu.zaidi ya Serikali ndio maana moja ya lengo la PPP ni kuvuta teknolojia toka kwa sekta binafsi.

<<<<msikilize mpaka mwisho>>>>

View attachment 3196218
Kafulila kama Rais yaani
 
Back
Top Bottom