Lucas Mwashambwa
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 28,722
- 20,610
Kuandika tu hujuwi๐๐๐Ni 87.5 inakatibia 90 kufika June kwa spidi yenu ya kukopa
Serikali ya Jemedari wetu Rais Samia haijawahi kuchukua mkopo kwa ajili ya kulipa mishahara kwa watumishi wa umma. Kwa sababu makusanyo ya ndani tu yanatosha kulipa mishahara kwa watumishi wote wa umma kwa wakati kama ilivyo sasa. Kwa sababu tunakusanya kama nchi zaidi ya Trilioni mbili kwa Mwezi.Mnakopa eti kujenga madarasa na kulipa mishahara na matumizi mengine ya anasa. hiyo model ya uchumi Gani? bwana lucas
CHADEMA wakikosa hoja wanaanza vituko. Ukimuuliza mapato kwa mwezi tunakusanya shilingi ngapi utaona anaanza kutoa macho yake tu hapa.Mbona hakuna mwezi hata mmja tumewahi sikia mshara umepitiliza Kwa sababu hela ya Mkopo imechelewa?
๐คฃ๐คฃ๐คฃ This time Kafulila kawanyoosha aiseeCHADEMA wakikosa hoja wanaanza vituko. Ukimuuliza mapato kwa mwezi tunakusanya shilingi ngapi utaona anaanza kutoa macho yake tu hapa.
Kawanyoosha kwelikweli๐คฃ๐คฃ๐คฃ This time Kafulila kawanyoosha aisee
Sahihi" Chini ya awamu ya sita kwa mara ya kwanza katika historia ya Tanzania tumefanyiwa Credit rating ( solicited ) kama Taifa.
Hata hivyo Tanzania tumefanya vizuri zaidi kuliko nchi zote za Africa Mashariki EAC na baadhi ya nchi nyingi za SADC tukiwa vinara kwa B+.
Tathimini hiyo iliyofanywa na taasisi maarufu na zakuaminika zaidi duniani za MOODY'S na FITCH ambazo pia ni vinara duniani katika kazi hiyo,
Huu ni ushahidi kuwa Rais Dkt Samia Suluhu Hassan anajenga uchumi wa kisasa na kuiweka nchi kwenye mizania bora zaidi ya kupimika kiuchumi kwenye medani za uchumi kidunia"
Amesema hayo David Kafulila, Mkurugenzi wa Kituo cha UBIA kati ya Serikali na Sekta Binafsi ( PPP) wakati akihojiwa kwenye kipindi cha DK 45.
Kafulila ameongeza kwamba Tathimini hizi zinachangia na kuongeza zaidi imani ya uwekezaji na wakopeshaji kwani zinapima afya ya uchumi wa nchi yetu kwa uhuru na uwazi zaidi.
Mkurugenzi David Kafulila anaendelea kwa kusema, nadhani inafahamika kwa wote hata katika benki zetu za kawaida tu kwenye mikopo ya kibiashara,
Wewe ukiwa imara kiuchumi ukienda benki kukopa watakukopesha kwa masharti nafuu zaidi kuliko ukiwa hoi kiuchumi (desperate) ambapo utaambulia masharti magumu kama ya mikopo ya kausha damu.
Hongera kwake Rais wetu Dkt Samia Suluhu Hassan kwa kazi kubwa na nzuri anazozifanya katika kusisimua na kukuza uchumi wetu.
Changamoto ni nyingi ni kweli lakini nchi ipo kwenye mstari sahihi na inazidi kuchukua sura mpya katika ujenzi wa uchumi wa soko kikanda na Kimataifa "
Samia Jembe sana" Chini ya awamu ya sita kwa mara ya kwanza katika historia ya Tanzania tumefanyiwa Credit rating ( solicited ) kama Taifa.
Hata hivyo Tanzania tumefanya vizuri zaidi kuliko nchi zote za Africa Mashariki EAC na baadhi ya nchi nyingi za SADC tukiwa vinara kwa B+.
Tathimini hiyo iliyofanywa na taasisi maarufu na zakuaminika zaidi duniani za MOODY'S na FITCH ambazo pia ni vinara duniani katika kazi hiyo,
Huu ni ushahidi kuwa Rais Dkt Samia Suluhu Hassan anajenga uchumi wa kisasa na kuiweka nchi kwenye mizania bora zaidi ya kupimika kiuchumi kwenye medani za uchumi kidunia"
Amesema hayo David Kafulila, Mkurugenzi wa Kituo cha UBIA kati ya Serikali na Sekta Binafsi ( PPP) wakati akihojiwa kwenye kipindi cha DK 45.
Kafulila ameongeza kwamba Tathimini hizi zinachangia na kuongeza zaidi imani ya uwekezaji na wakopeshaji kwani zinapima afya ya uchumi wa nchi yetu kwa uhuru na uwazi zaidi.
Mkurugenzi David Kafulila anaendelea kwa kusema, nadhani inafahamika kwa wote hata katika benki zetu za kawaida tu kwenye mikopo ya kibiashara,
Wewe ukiwa imara kiuchumi ukienda benki kukopa watakukopesha kwa masharti nafuu zaidi kuliko ukiwa hoi kiuchumi (desperate) ambapo utaambulia masharti magumu kama ya mikopo ya kausha damu.
Hongera kwake Rais wetu Dkt Samia Suluhu Hassan kwa kazi kubwa na nzuri anazozifanya katika kusisimua na kukuza uchumi wetu.
Changamoto ni nyingi ni kweli lakini nchi ipo kwenye mstari sahihi na inazidi kuchukua sura mpya katika ujenzi wa uchumi wa soko kikanda na Kimataifa "
Jembe kwelikweliSamia Jembe sana
Amsogeze Mheshimiwa Kafulila katika baraza lake la Mawaziri. Atamsaidia sana na hatajuta kumteua Uwaziri.Samia Jembe sana
๐คฃ๐คฃAmsogeze Mheshimiwa Kafulila katika baraza lake la Mawaziri. Atamsaidia sana na hatajuta kumteua Uwaziri.
Chawa mbobezi!Chawa promax
Acha kuwaita binadamu chawa.Chawa mbobezi!
Sawa chawaAcha kuwaita binadamu chawa.
Mimi ni msema kweli Daima.Sawa chawa
Tofautisha kusema ukweli na kusema kinazi.Mimi ni msema kweli Daima.
Mimi ni msema kweliTofautisha kusema ukweli na kusema kinazi.
Mungu ambariki zaidi Mama yetuSamia ni kiboko ya wasio na akili ,anafundisha maana ya Uongozi ๐๐
View: https://www.instagram.com/p/C7Y4SZ-t_B7/?igsh=MXE0N2t2d2p3bGc4YQ==