Kafulila: Mafanikio ya Kihistoria ya Bandari chini ya DP World na Vivuko vya Bakresa ni mwanzo tu wa matunda ya PPP kwenye kujenga Uchumi wa kisasa

Mbona hapa unatisha watu bure
 
Kwenye bandari hata Mimi naungana na Kafulila
Palikuwa na urasimu sana pale ila Leo kwakweli acha Samia aongoze tu hata kama mpaka 2035 ni sawa tu

..mgawanyo wa 60 / 40 kati ya Tz na Dp World nadhani dhuluma.

..tulihitaji ufanisi ktk bandari yetu lakini sio kwa kudhulumiwa kiasi hicho.
 
Maono ya Nehemia yatazaa matunda tu ikiwa nafasi za CEOs, wenyeviti wa Bodi na wajumbe wake watapatikana kwa njia ya ushindani, na si kupeana tu kwa teuzi.

Nafasi zitangazwe watu waombe, wafanyiwe rigorous interviews kupata competent people.

Short of that ni business as usual
 
Hili la Bakhressa na vivuko vyake ni kushindwa kutimiza wajibu wake serikali, mwishowe mtaita Wachina waendeshe JWTZ
 
Ila Kafulila kazi anayoifanya ingekuwa yeye ni Waziri naamini angesukuma vitu vingi sana katika hiyo sekta
 
Kwani yeye Nehemiah kapatikanaje?
 
Wako wapi wale burukenge waliosema bandari imeuzwa?
 
..mgawanyo wa 60 / 40 kati ya Tz na Dp World nadhani dhuluma.

..tulihitaji ufanisi ktk bandari yetu lakini sio kwa kudhulumiwa kiasi hicho.
dhuluma ya nini exactly? port charges ni visenti tu, makusanyo makubwa yanakuwa ni TRA indirect, umeona makusanyo ya TRA yalivyoongezeka? assume hio figure ya 60/40 ni sawa, mapato TRA umepata trilioni 16, port charges 0.5-1 trilion kati ya hizo 200-400b inabaki dp world na 16.3T-16.6T inabaki serikalini huoni ni fair deal?
 
Aweke data sio maneno matupu, ngapi zinaingia hazina compare na kabla ya mkataba? ufanisi vipi siku ngapi kutoa mzigo na cost zimepungua au kuongezeka? Na mizigo kwa ujumla imeongezeka au? ….etc
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…