Kafulila: Rais Samia kuongoza mwelekeo wa Tanzania ya miaka 25 ijayo baada ya ile 25 ya Mkapa kukamilika

Fafanua hii vizuri
 
Ile dira ya kuwalipa mashkeikh na Wachungaji laki tisa kila mwezi na kwamba azam tv wapunguze bei ya ving'amuzi ndio dira bora duniani?
Nchi yetu haina dini isipokuwa watu wake hivyo ni vigumu kuwa Dira itakayolipa watu wa dini wakati haina dini
 
Hongera mama SAMIA
 
Tanzània tuko njema sana hata hivyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…