Kafulila: Tanzania kwa mara ya kwanza tunajenga barabara za kisiasa za kulipia 150km kutoka Kibaha Pwani-Morogoro bila Fedha ya Serikali

Natamani Sana kuijua kwa undani hiyo mikataba ya ubia wanayotarajia kuingia Watu hawa. Kwa jinsi ninavyofahamu namna wa-Tanzania wengi zaidi walivyo na uelewa Mdogo sana kuhusisha na masuala haya ya UBIA Nina uhakika kwamba Watanzania tunaenda kuingizwa mkenge kwenye Mikataba hiyo. Ni lazima mikataba hiyo itakuwa na sura ya 'mikataba ya ki-Mangungo.'
 
Bila fedha ya serikali ana maana Gani? Kwamba umeoa unamuachia mkeo 5000 ya matumizi anajitokeza kidume anamuongeza 15000 anaenda kununua kuku mzima anapika Kisha ukirudi nyumbn unakula chakula unajiramba kabisa na kumsifia mkeo kwamba amepika chakula kizuri?

Hapo hapo Kuna baadhi ya miradi Huwa mnajigamba kwamba mnatumia pesa za ndani bila ufadhili kutoka nje.
 
Kafulila ni hazina ya kesho kwa Taifa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…