Hivi karibuni nikekuwa nikimuona mdogo wangu Kafulila akitoa maoni yake kwenye kila kitu uenda ni kutokana na nafasi yake ya Ex. Director wa PPPC ndiyo maana anakuwa na munkari ya kuongea sana. Ila hekima ni pale unapotulia na kutoa ufafanuzi wenye busara na logic.
Suala la serikali kununua umeme kutoka Ethiopia linajitaji ufafanuzi wa kina kabisa na serikali ije na logical reasons za kufanya hivyo. Kwamba imeshindikana nini kwa serikali kuzalisha umeme kwa bei nafuu, kuzuia upotevu wa umeme wakati wa usambazaji, kwa nini Ethiopia waweze sisi tusiweze, na kwa nini tuendelee kuzalisha umeme kwa gharama kubwa na wakati kuna options za kununua kwa gharama kubwa, tumekipangaje ikitokea Ethiopia wakasema hatuwauzii umeme hadi mtekeleze 1,2,3? Tumeshuhudia huduma zikisitishwa pale diplomasia inapo shake kidogo.
Mfano: TZ na Kenya: Msiuze mahindi kenya
Russia na EU: Kata usambazaji wa gesi EU
Marekani na Canada: Hakuna uingizaji wa maziwa, nk.
Msiwe wavivu wa kutafuta solution za kujitegemea.
Suala la serikali kununua umeme kutoka Ethiopia linajitaji ufafanuzi wa kina kabisa na serikali ije na logical reasons za kufanya hivyo. Kwamba imeshindikana nini kwa serikali kuzalisha umeme kwa bei nafuu, kuzuia upotevu wa umeme wakati wa usambazaji, kwa nini Ethiopia waweze sisi tusiweze, na kwa nini tuendelee kuzalisha umeme kwa gharama kubwa na wakati kuna options za kununua kwa gharama kubwa, tumekipangaje ikitokea Ethiopia wakasema hatuwauzii umeme hadi mtekeleze 1,2,3? Tumeshuhudia huduma zikisitishwa pale diplomasia inapo shake kidogo.
Mfano: TZ na Kenya: Msiuze mahindi kenya
Russia na EU: Kata usambazaji wa gesi EU
Marekani na Canada: Hakuna uingizaji wa maziwa, nk.
Msiwe wavivu wa kutafuta solution za kujitegemea.