Kafulila: Wawekezaji si wageni tu tumeni maombi yenu PPP-Centre kama unautaka mradi wowote wenye sura ya kibiashara popote kituo Cha Ubia kitawasaidia

Lakini hivi vimekuwa researched sio rahisi kuleta hasara regarding kila taratibu zimekuwa sawa
 
Lakini hivi vimekuwa researched sio rahisi kuleta hasara regarding kila taratibu zimekuwa sawa
Mkuu duniani miradi ndio MIRADI binadamu sio honest kwahio ukiweka uwekezekano wa upigaji watu watapiga.., issue ya kuzuia upigaji ni 100 percent transparency na kuhakikisha hakuna loopholes za kufanya hivyo..., Sasa iwapo mradi unaofanyika ni wa huduma kwa wananchi serikali haitakaa kimya itaongezea pesa ruzuku (hata kama mwanzo haikupaswa kufanya hivyo) kwahio utajikuta kwamba mradi ambao ni nusu wa watu binafsi ila mlipa kodi ndio atagharamikia zaidi..., na kama mkataba unasema mtu binafsi atapata faida kiasi fulani baada ya muda fulani asipopata hio faida unadhani ni nani atafidia ? (kwa taarifa yako ni mlipa kodi kupitia serikali)

Kwahio kuna uwezekano hata hizi PPPs zikaanzishwa ili tu kuweza kufanya yafuatayo (as per attached article niliyoweka hapo mwanzo)
  • A further danger is the recent effort by the World Bank,the G20, OECD and others to ‘financialize’ PPPs in order to access the trillions of dollars held by pension funds,insurance companies and other institutional investors.
  • PPPs originated as an accounting trick, a way round the government’s own constraints on public borrowing. This remains the overwhelming attraction for governments and international institutions. Just as companies like Enron had tried to conceal their true liabilities by moving them‘off-balance-sheet’, so governments started using PPPs as “tricks…. whereby public accounts imitate the creative accounting of some companies in the past.”

Sasa ndugu kwa historia ya hii serikali yetu ya mikataba ya ajabu ajabu na walamba asali unategemea hawatatumia any loophole around ili kupiga pesa ?
 
Nimekuelewa vizuri sana
 
Nitarudi....
 
Tatizo la Watanzania ni woga,
Kama Serikali imeachia fursa hii nalitegema wangechangamkia sana hii fursa.

ILa woga wetu ndio umasikini wetu
 
kafulila anakitu ndani yake hii PPP ndio tunaifahamu leo
 
Tatizo la Watanzania ni woga,
Kama Serikali imeachia fursa hii nalitegema wangechangamkia sana hii fursa.

ILa woga wetu ndio umasikini wetu
Nakubaliana na wewe wanasubiri Machina aje kuendesha soko lao
 
Nakuelewa japo wenzetu wengi wamefanikiwa
 
Kafulila namwona kama kiongozi anayetaka Uchumi wa Watanzania umilikiwe na wazawa japo sioni huo mwamko wa Watanzania,

Watanzania ni waoga,
Watanzania ni wabishi
Watanzania ni wajuaji,
Watanzania ni walalamishi

Sijui kama watajitokeza kuwekeza
Watanzania sisi ni watu dhaifu
 
Tufanyeni kazi kutafuta mitaji na ujuzi tu
 
Naona unawajua vizuri Watanzania ila it's boaring
Kafulila namwona kama kiongozi anayetaka Uchumi wa Watanzania umilikiwe na wazawa japo sioni huo mwamko wa Watanzania,

Watanzania ni waoga,
Watanzania ni wabishi
Watanzania ni wajuaji,
Watanzania ni walalamishi

Sijui kama watajitokeza kuwekeza
 
Hongera sana Kafulila unafanya kazi kubwa na nzuri sana
 
Tatizo mitaji faza
 
Kafulila namwona kama kiongozi anayetaka Uchumi wa Watanzania umilikiwe na wazawa japo sioni huo mwamko wa Watanzania,

Watanzania ni waoga,
Watanzania ni wabishi
Watanzania ni wajuaji,
Watanzania ni walalamishi

Sijui kama watajitokeza kuwekeza
Elimu
Elimu
ELimu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…