Kagame aondoe majeshi yake Congo. Akigoma tuwaondoe kwa nguvu zote

Kagame aondoe majeshi yake Congo. Akigoma tuwaondoe kwa nguvu zote

Pdidy

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2007
Posts
57,951
Reaction score
32,619
Leo na kesho naambiwa kuna mkutano WA Maraisi wa Congo na Rwanda na SADC na EAC

Huyu Bwana akikanyaga Tanzania mwambien tunalaan yote yanayoendelea congo na WANAJESHI wake WA M23

Na Wala msipotexe mda mwambien aondoe wale wahuni MAGAIDI WA M23

Soma: Rais Samia kuwa mwenyeji wa mkutano wa marais wa nchi za SADC na EAC kujadili Mgogoro wa DR Congo

Akigoma tuwaondoe kwa nguvu zote

Hawa mnawachekea mnajadiliana nao kuna siku mtawakuta wanapambana kuingia Kenya ugandaaaa

Anyway kila la kheri anachokitafuta naamini atakipata
 
Leo na kesho naambiwa kuna mkutano WA Maraisi WA congo na Rwanda na SADC na EAC

Huyu Bwana akikanyaga Tanzania mwambien tunalaan yote yanayoendelea congo na WANAJESHI wake WA M23

Na Wala msipotexe mda mwambien aondoe wale wahuni MAGAIDI WA M23

Akigoma tuwaondoe kwa nguvu zote

Hawa mnawachekea mnajadiliana NAOO KUNA siku mtawakuta wanapambana kuingia Kenya ugandaaaa

Anyway kila la kheri...anachokitafuta naamini atakipata
Mkuu Diddy siyo rahis kihivyo.
 
Mkuu Diddy siyo rahis kihivyo.
Mkuu anangania nn congo kakaa

Mbaya anajichanganya

ANASEMA HAJUI kama KUNA WANAJESHI

Gafla anasema wako tayari kujilinda

UN wametoa ripoti rasmi huyu Bwana na wenzie wanahusika

Jana kamsema sana vibaya uhuru kenyata

Nae akamjibu AACHE hujumaaa apambane nchi yake na hayuko radhi kuona nchi ya EAC ikivamiwa AKAE kimya

Huyu mtu sioo mzuri
 
Back
Top Bottom