Kagame Cup, Dar es Salaam-Tanzania 2015 Special thread!

Sikuoni oni leo kabisa, naona umeamua kujificha huku mpirani. ..
Hahahahahaa

Kweli nimejificha huku best, kule siasani kichefuchefu kabisa, inabidi nitembee na limao kila wakati, sias za bongo sina hamu nazo kabisa, hadi nimeshindwa sasa kutofautisha upinzani na ccm, nawaona wote ni wale wale, tena nahisi ccm wakijipanga vizuri wanaweza kurudia umaarufu wao wa enzi za mwalimu. Hahaaa sorry nimeandika siasa huku
 
Atakayefungwa dakika hizi ndio anaenda semi final. Yanga wameni dissapoint sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…