Katavi United
Canavarro ********** ya mamake anakosa penati
Kweli?? Pole yake.Canavarro ********** ya mamake anakosa penati
Katavi Rangers
Mpaka sasa vijana wanajitahidi japokuwa tunacheza pungufu lakini gor mahia shughuli wanaipata. Ball control ipo 100% tatizo umaliziaji. Na uhakika gemu zijazo tutatisha sana
yaani tunacheza utafikiri simba. Na hii mimbumbumbu inavyoshangilia hapa uwanjani natamani wangeruhusu tuingie na silaha kudadadeki
Canavarro ********** ya mamake anakosa penati
Kwani kumetokea nini mbona mbona hamsemi
Bora nihamie Azam FC kwa kweli,siasa za Simba na Yanga za kuchezea mpira kwenye magazeti siziwezi