wakimataifa.
JF-Expert Member
- Jun 7, 2015
- 1,625
- 558
zikiwa zimesalia wiki mbili sijasikia ratiba kupangwa hapo ndio ubovu wa mosonye na cecafa yake.
sijui tuite bonanza au fetefete
Kwani Yanga wameamua mwaka huu kushiriki hili bonanza? Waswahili bwana.......
wakimataifa bana! mbona habari zako ni loko? cecafa tar18 yanga na gor mahia ufunguzizikiwa zimesalia wiki mbili sijasikia ratiba kupangwa hapo ndio ubovu wa mosonye na cecafa yake.
sijui tuite bonanza au fetefete
Sasa Kama Simba Sports Club Haipo Wewe Unadhani Hizo Shamrashamra au Amsha Amsha Za Hilo Kombe La Kagame Zitatoka Wapi Mkuu?
wakimataifa bana! mbona habari zako ni loko? cecafa tar18 yanga na gor mahia ufunguzi
loko nikimaanisha sio intaneshinosawa mada hii nilitoa tarehe 28/6 ratiba imetoka tarehe 1/7 sasa utasemaje loko