Wakudadavuwa
JF-Expert Member
- Feb 17, 2016
- 17,506
- 16,003
Ndugu zangu,
''Ajizi nyumba ya njaa'', Kagame na Museveni wakati wanajadiliana mkakati wa ''lockdown'' ndani ya nchi zao ili kupambana na Corona walikuwa wanaendelea na mazungumzo binafsi (billateral discussion) jinsi watakavyo kuwa wakisafisafirisha mizigo na kufanya biashara na Tanzania bila kukwama.
''akili za kuambiwa changanya na za kwako'' kwa upande wa pili Kenyatta yeye baada ya mazungumzo kaendelea kutekeleza masharti ya mkopo wa IMF huku akitekeleza ''blue print'' ya WHO ambayo imeandikwa kwa kuzingatia mazingira ya Ulaya na Marekani
Hapa akae afanye ''homework'' kabla hajazama zaidi
''Ajizi nyumba ya njaa'', Kagame na Museveni wakati wanajadiliana mkakati wa ''lockdown'' ndani ya nchi zao ili kupambana na Corona walikuwa wanaendelea na mazungumzo binafsi (billateral discussion) jinsi watakavyo kuwa wakisafisafirisha mizigo na kufanya biashara na Tanzania bila kukwama.
''akili za kuambiwa changanya na za kwako'' kwa upande wa pili Kenyatta yeye baada ya mazungumzo kaendelea kutekeleza masharti ya mkopo wa IMF huku akitekeleza ''blue print'' ya WHO ambayo imeandikwa kwa kuzingatia mazingira ya Ulaya na Marekani
Hapa akae afanye ''homework'' kabla hajazama zaidi