Kagame na Kenyatta kuongoza mkutano wa kibiashara EAC

Hao akina Kenyatta wanapiga soga tu. hakuna litakalowezekana kwenye Jumuiya ya Afrika ya Mashariki bila ya uwepo wa Tanzania

ndoto hiyooooooo...........hivi nchi raslimali ni tele, uvivu tele tele pia....tz ingekuwa ni mojawapo matajiri africa lakini ni mojawapo ya backwater states.hivi ndiyo tunahitaji EAC ifaulu.kazi kweli.....
 
lakini wananchi wake wako radhi kuwa wakimbizi haramu Tanzania, why?

Last time i heard your president aliwafukuwa hao "wakimbizi haramu" waliozaliwa tanzania kabla hata ya uhuru.
 
Acha ujinga wewe. Mbona hujauliza Rais Yuweri Museveni na Piere Nkurunziza

ninauhakika Museveni atakuwa anasababu inayoeleweka lkn Nkurunziza amesua kwenda kwasababu kashaanza ujinga ujinga anajifanya kusahau waliomlipia ada ya kuingia EAC hv keshaanza kupretend eti EAC sio dili sana mara yumo mara hayumo yaani tunashindwa kumuelewa! ila vijana wetu washaanza kuleta data kutoka kule Congo alipopeleka wanajeshi wake kwa sili inasemekana hv washarudi Burundi nainasemekana karudi nawale wanaoishi msituni miaka 20 kama ngedere (FDLR) wakati wenzao wengi washarudi rwanda hv wanakula bata tu! wee chezea Rwanda wewe. my take: ninashangazwa nakuona hii coaltion of evil haisiamishi njama zao potofu maana kila wanachofanya tuko na data utafikiri tumewachomeka camera, nani kaingia dar tunae, nani kaonana na nani Congo tukonae, Nkurunziza kaingiza nani kutoka msitu wa Congo tunae, watu waliotupwa mto Rweru tunajua waewafikisha vp pale, I can on and on yaani ujinga hauna kifani jamani! ila waswahili wanasema majuto ni mjukuu, acha waendelee na ujinga wao ila tunasuiri wanyanyue kichwa tu ndio watajua how small is Rwanda
 
ndoto hiyooooooo...........hivi nchi raslimali ni tele, uvivu tele tele pia....tz ingekuwa ni mojawapo matajiri africa lakini ni mojawapo ya backwater states.hivi ndiyo tunahitaji EAC ifaulu.kazi kweli.....

Kenya officially middle income country, Tanzania ya JK na CHECHEMEA filthy poor of the poorest, na JK is on record hajui kwa nini Tz ni maskini licha ya nchi kuwa na raslimali nyingi! Shame upon him.
 
By Lizaboni
Kagame ndo mla Rushwa nambari moja Afrika. Tena ni muuaji wa upinzani. Tanzania tushukuru kuwa na kiongozi kama JK. Akina Slaa, Mbowe, Lissu nk wangekuwa Rwanda mpaka sasa tungekuwa tumewazika siku nyingi

I disagree! wangekua Rwnda alafu wafanye siasa kama wanayofanya Bongo asingeguswa mtu tena nakuandamana ningekuwa wa kwanza lkn wangekuwa kama xtrimist wa huku kwetu basi mngejua siri ya urembo anaway guys your hate for Kagame wil definitely harm your brain, mm ninaswali wacha tuseme ni mla rushwa alafu wanyarwanda wanapata mahitaji ya muhimu karibu yote sasa huko kwingine rushwa inaliwa na hakufanyiki kitu je ni lipi bora maana ungeniuliza mm ningekuambia yaani hata hasile rushwa yeye aniambie anataka kiasigani cha pesa kwa kazi murua anayofanya kuriko hao wala rushwa na kukenuakenua tu
tatizo huku kwetu anawashinda popularity ndio maana wanakuja na hoja za kifara, ooh nani kadungua ndege ya raisi utafikiri walikuwa wanampenda, ooh nani kauwa wanyarwanda vitani utafikiri vita ni debate yani raia hawawezi kufa bila hatia yaani tabu tupu
 
lakini wananchi wake wako radhi kuwa wakimbizi haramu Tanzania, why?

hello Jumali been looking for you all day long! didn't know you brought your poison this side? anyway back to your obvious questions/suggestions, those fellows were in Tanzania long time ago, they ddn't know what was happening in Rwanda just like your relatives in the jungle of Congo but now they are enjoying a national cake, mark my words you will never see them in Tanzania again may be for business reasons! next time ntakutumia picha zao uwezi kuamini walivyonawili lkn hata hivyo we mbona ni bingwa wakugoogle uwe unachekicheki basi n nyuzi za home sio kushinda unatafuta sumu tu labda unaweza kubadili mawazo nakurudi home au unamsubili msanii alivyowaahidi kurudi nyumbani kwa malidhiano? kwa taarifa yako huyo msanii watanzania walishachoka nae atabiriki usije kushangaa akiwageuka eti ooh mnakimavi mbona kila akijaribu eti mambo hayakubali hizo pesa za wafaransa bora mzichukue wenyewe maana zikisha isha ndio mtamjua na membe wake.
Real tanzania were at the time of Nyerere(RIP) when he supported revolutionaries in Africa by conviction and not corruption like dhaifu
 
Hahahahahaaaaaa! Watutsi utawajua tu kwa post zao. Hapo soon MAHORO atatinga mguu

mh! hebu tupe habari, we unajuaje kama mtusi ndio kapost? hebu nisaidie Lizaboni Mtusi ama vp? maana post zake si bure! pili naomba uniambie uraia wako ni Tanzania au Rwanda? ninahofu na sumu za Jean-Marie aka Jumali zinawezakuwazimeanza kufanya kazi Tanzania mi sijui maana niko mbali kidogo
 
Sina la kuongeza. Wengi wameyaona juu ya Tanzania yale ninayoyaona-isipokuwa wachache wanaoendelea kuziviza akili zao na propaganda na kuukana ukweli (kuwa Tanzania itaendelea kuwa mkia, hadi hapo tutakapoweka elimu ya dhati (quality education) mbele, na tukaachana na domo kaya (kila kitu siasa tu).
Hebu nyie wa huko niambieni hili neno jipya TEHAMA ni nini? Sikuweza kulifahamu hata katika muktadha.Ila ni neno zuri.
 
lakini wananchi wake wako radhi kuwa wakimbizi haramu Tanzania, why?

Na wote wakiwa huku wanamchukia sana, hata watus wenzake. Wanasema kapitiliza kwa ubaguzi hata ndani ya watusi, anapendelea ukoo wake tu. Ambao wengi walikuwa uganda
 

Tatizo la kunywa pombe za kienyeji kwenye chocho za manzese ndo hizo. Unaongea ukifikiri wote hapa JF ni walevi kama wewe.
 

We si umesema habari zote unazo. Hacha kujifanya chizi wewe. Sa we ndo utuambie wale watu 40 kwanini kagame kawaua.
 
Ikiwezekana wachukue na ziwa victoria na ziwa tanganyika wafanye tu yao kama walivyofanya mlima kilimanjaro;
sie acha tulale usingizi wa pono.
 
All I can say is east africa or Africa does NOT need a president like Kagame for he is a killer/terrorist. Africa does NOT need leaders like Kagame. We have to get rid of him the soon the better. He rules Rwanda through lies and propaganda.
 

We mlevi, Rwanda kuna national keki ya wapi? Si kagame alikuwa anaiba madini ya Congo? Sasa hivi ni sheeedah. Njaa kali. Anaungana na Kenyata naye tajiri lakini wananchi wake wote choka mbaya. Sehemu kubwa ya ardhi ya nchi anamiliki yeye.
Kama unajidanganya Tanzania ya siku hizi siyo kama ya Nyerere jaribu kutikisa kiberiti uone kitu mbaya mtakayofanyiwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…