LGE2024 Kagera: Bashungwa ashiriki zoezi la kupiga kura

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Cute Wife

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2023
Posts
1,906
Reaction score
5,000
Wakuu,



Kupata taarifa na matukio ya kimkoa kuhusu Uchaguzi Serikali za Mitaa ingia hapa:
LGE2024 - Special Thread: Orodha ya Mijadala ya Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Waziri wa Ujenzi na Mbunge wa Jimbo la Karagwe, Innocent Bashungwa amepiga kura kuwachagua Viongozi wa Serikali za Mitaa katika kituo cha Ahakishaka, Kata ya Nyabiyonza, Karagwe mkoani Kagera, leo Novemba 27,20204.

Bashungwa amepiga kura kuwachagua Mwenyekiti wa kijiji, Mwenyekiti wa Kitongoji, Wajumbe wa Halmashauri ya Kijiji kundi Mchanganyiko kwa Wanaume na Wanawake pamoja na Wajumbe wa Halmashauri ya kijiji kundi la Wanawake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…