LGE2024 KAGERA: Matukio yaliyojiri kuelekea Uchaguzi wa Serikali za Mitaa Novemba 27, 2024

LGE2024 KAGERA: Matukio yaliyojiri kuelekea Uchaguzi wa Serikali za Mitaa Novemba 27, 2024

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Roving Journalist

JF Roving Journalist
Joined
Apr 18, 2017
Posts
3,984
Reaction score
13,760

WanaJF,​

Mada hii itakuwa na 'Updates' za Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024 kama yanavyotujia kutoka kwenu kutoka mkoa wa Kagera. Ukiwa na taarifa yoyote ambayo ni ya eneo hili tafadhali usisite kushiriki na wengine

Kagera.jpg


Mkoa wa Kagera uko Kaskazini Magharibi mwa Tanzania, ukipakana na nchi za Uganda, Rwanda, na Burundi. Mkoa huu pia unazunguka sehemu ya Ziwa Victoria. Kwa mujibu wa Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2022, Mkoa wa Kagera una takriban watu 2,989,713.

MUHTASARI WA MAENEO YA UTAWALA, MKOA WA KAGERA
Katika muhtasari wa maeneo ya utawala, mkoa huu una halmashauri ambazo zimegawanyika katika mamlaka za miji na wilaya.

SOMA PIA: Special Thread: Orodha ya Nyuzi za Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Mkoa wa Kagera una jumla ya Wilaya 8 ambazo ni
  • Bukoba Vijijini
  • Bukoba Manispaa
  • Biharamulo
  • Muleba
  • Karagwe
  • Kyerwa
  • Ngara
  • Missenyi
Kagera ina jumla ya majimbo 9 ya uchaguzi, ambayo ni:
  • Jimbo la Bukoba Mjini
  • Jimbo la Bukoba Vijijini
  • Jimbo la Biharamulo
  • Jimbo la Muleba Kusini
  • Jimbo la Muleba Kaskazini
  • Jimbo la Karagwe
  • Jimbo la Kyerwa
  • Jimbo la Ngara
  • Jimbo la Nkenge

Viunganishi vinavyohusu Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024 mkoa wa Kagera

 

WanaJF,​

Mada hii itakuwa na 'Updates' za Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024 kama yanavyotujia kutoka kwenu kutoka mkoa wa Kagera. Ukiwa na taarifa yoyote ambayo ni ya eneo hili tafadhali usisite kushiriki na wengine

View attachment 3099360

Mkoa wa Kagera uko Kaskazini Magharibi mwa Tanzania, ukipakana na nchi za Uganda, Rwanda, na Burundi. Mkoa huu pia unazunguka sehemu ya Ziwa Victoria. Kwa mujibu wa Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2022, Mkoa wa Kagera una takriban watu 2,989,713.

MUHTASARI WA MAENEO YA UTAWALA, MKOA WA KAGERA
Katika muhtasari wa maeneo ya utawala, mkoa huu una halmashauri ambazo zimegawanyika katika mamlaka za miji na wilaya.

SOMA PIA: Special Thread: Orodha ya Nyuzi za Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Mkoa wa Kagera una jumla ya Wilaya 8 ambazo ni
  • Bukoba Vijijini
  • Bukoba Manispaa
  • Biharamulo
  • Muleba
  • Karagwe
  • Kyerwa
  • Ngara
  • Missenyi
Kagera ina jumla ya majimbo 9 ya uchaguzi, ambayo ni:
  • Jimbo la Bukoba Mjini
  • Jimbo la Bukoba Vijijini
  • Jimbo la Biharamulo
  • Jimbo la Muleba Kusini
  • Jimbo la Muleba Kaskazini
  • Jimbo la Karagwe
  • Jimbo la Kyerwa
  • Jimbo la Ngara
  • Jimbo la Nkenge

Viunganishi vinavyohusu Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024 mkoa wa Kagera

Ndugu zetu nshomile leo kitaeleweka
 
Back
Top Bottom