Kagera: Mwanafunzi auawa, mwili watupwa kichakani

Kagera: Mwanafunzi auawa, mwili watupwa kichakani

Analog

JF-Expert Member
Joined
Apr 4, 2024
Posts
323
Reaction score
618
Mwanafunzi wa darasa la sita katika shule ya msingi Kilima wilayani Bukokaa, Elius antony(13), anadaiwa kuuawa kwa kukatwa na panga shingoni kisha mwili wake kutupwa kichakani.

Kamanda wa polisi mkoa wa Kagera Blasius Chitanda, amesema uchunguzi unaendelea kubain chanzo cha mauaji hayo.

Akisimulia tukio hilo mama mzazi wa mtoto huyo Betrida Antony, amesema mara ya mwisho kijana alikwenda na baba yake kuchoma mkaa porini kisha alirudi kufuata simu na sh. 10,000 kwa ajili ya matumizi.

Amesema baba yake aliporejea alipokelewa na salamu za pole kwa majirani kuhusu kupotea kwa mtoto.

"Baada ya muda mfupi alifika mwenyekiti wa kijiji na kumchukua baba yake na kumpeleka kichakani ambako mwili ulionekana ukiwa umejaa nzi" amesimulia.

Fikra zangu: nina mashaka na hiyo elfu 10 na simu ndio sababu.
 
Screenshot_20240414-193147.png
Screenshot_20240414-193147.png
 
Watu tumekuwa na roho za kinyama mno...pengine unaeza kuta iliyomtoa ni hyo elfu 10 na simu.
 
Mwanafunzi wa darasa la sita katika shule ya msingi Kilima wilayani Bukokaa, Elius antony(13), anadaiwa kuuawa kwa kukatwa na panga shingoni kisha mwili wake kutupwa kichakani.

Kamanda wa polisi mkoa wa Kagera Blasius Chitanda, amesema uchunguzi unaendelea kubain chanzo cha mauaji hayo.

Akisimulia tukio hilo mama mzazi wa mtoto huyo Betrida Antony, amesema mara ya mwisho kijana alikwenda na baba yake kuchoma mkaa porini kisha alirudi kufuata simu na sh. 10,000 kwa ajili ya matumizi.

Amesema baba yake aliporejea alipokelewa na salamu za pole kwa majirani kuhusu kupotea kwa mtoto.

"Baada ya muda mfupi alifika mwenyekiti wa kijiji na kumchukua baba yake na kumpeleka kichakani ambako mwili ulionekana ukiwa umejaa nzi" amesimulia.

Fikra zangu: nina mashaka na hiyo elfu 10 na simu ndio sababu.

Shetani ni watu
 
Just imagine kama mzazi tena watoto wenye wa uzazi wa mpango unaletewa taarifa ya mwanao amekutikana kwenye hali hyo.
Aisee yahitaji ujasiri wa hali ya juu kuhandle hili
 
Mwanafunzi wa darasa la sita katika shule ya msingi Kilima wilayani Bukokaa, Elius antony(13), anadaiwa kuuawa kwa kukatwa na panga shingoni kisha mwili wake kutupwa kichakani.

Kamanda wa polisi mkoa wa Kagera Blasius Chitanda, amesema uchunguzi unaendelea kubain chanzo cha mauaji hayo.

Akisimulia tukio hilo mama mzazi wa mtoto huyo Betrida Antony, amesema mara ya mwisho kijana alikwenda na baba yake kuchoma mkaa porini kisha alirudi kufuata simu na sh. 10,000 kwa ajili ya matumizi.

Amesema baba yake aliporejea alipokelewa na salamu za pole kwa majirani kuhusu kupotea kwa mtoto.

"Baada ya muda mfupi alifika mwenyekiti wa kijiji na kumchukua baba yake na kumpeleka kichakani ambako mwili ulionekana ukiwa umejaa nzi" amesimulia.

Fikra zangu: nina mashaka na hiyo elfu 10 na simu ndio sababu.
Matukio Kama haya yamekuwa yakiongezeka Sana, yafaa Jeshi LA Polisi lianzishe uchunguzi maalumu kuhusiana no jumbo hili
 
Back
Top Bottom