LGE2024 Kagera: Polisi waahidi "usalama" siku ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa

LGE2024 Kagera: Polisi waahidi "usalama" siku ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Mindyou

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2024
Posts
1,869
Reaction score
4,877
Wakuu,

Mbona kama kuna watu wame-targetiwa kutokana na tangazo hili?

Jeshi la polisi mkoani Kagera limewataka wananchi wa mkoa huo kushiriki uchaguzi wa serikali za mtaa kwa utulivu kwakuwa limeimarisha ulinzi na usalama kwenye maeneo yote ya mkoa huo kuelekea kwenye siku ya uchaguzi huo utakaofanyika nchi nzima Alhamisi Novemba 27, 2024.

 
Wakuu,

Mbona kama kuna watu wame-targetiwa kutokana na tangazo hili?

Jeshi la polisi mkoani Kagera limewataka wananchi wa mkoa huo kushiriki uchaguzi wa serikali za mtaa kwa utulivu kwakuwa limeimarisha ulinzi na usalama kwenye maeneo yote ya mkoa huo kuelekea kwenye siku ya uchaguzi huo utakaofanyika nchi nzima Alhamisi Novemba 27, 2024.

View attachment 3161461
piga kura na uende nyumbani kwa amani,

matokeo utayapata hata kesho yake gentleman :BASED:
 
Back
Top Bottom