Franky Samuel
JF-Expert Member
- Oct 10, 2018
- 5,195
- 13,785
MbwaKagera wasipochomoa mniite[emoji240]🦺[emoji240]🦺[emoji240]🦺[emoji240]🦺 nimekaa [emoji117][emoji117][emoji117]🪑
Air manula ilishaangushwa na aziz ki imebaki screpa.Japo wamefungwa ila kagera wamepiga boli sana. Diara ndio man of the match kawaokoa sana Hawa utopolo leo
Mbwa, nakuona tu umekaa zako pale 👉🐕🦺Kagera wasipochomoa mniite[emoji240]🦺[emoji240]🦺[emoji240]🦺[emoji240]🦺 nimekaa [emoji117][emoji117][emoji117]🪑
Ana clean sheet ngapi Vs Manula?Air manula ilishaangushwa na aziz ki imebaki screpa.
Huyu Diara ni Kamikaze zile za Iran.
Hawana jipya hawa. Pole aisee yani nilidhani ww ni jitopolo fulani hivi. Tena na hyo picha uloweka inavyoniudhi sasa 😀 😀 😀 😀Nilishangaa ile siku unanishambulia bule kisa mtazamo wangu umekuwa tofauti na Wana Lunyasi wengine...
Hakuna timu nisiyoipenda kama hawa Wala mihogo..
Leo wamepata bahati tu ila Kagera wamewapelekea moto paka hawaaamini kama wameshinda
Sasa hivi ni MV manulaAir manula ilishaangushwa na aziz ki imebaki screpa.
Huyu Diara ni Kamikaze zile za Iran.
Kwa msimu hii inajieleza Diara The Kamikaze ameshindakana.Ana clean sheet ngapi Vs Manula?
Aliyekwambia Kiiza Ndiye aliyepiga nani?Kiiza ni Yanga lialia huyo.. nilijua atakosa tu iyo penati
Utakunywa sana tu dawa za kupunguza maumivu msimu huu.Mi yani Utopo siku hzi hata wafunge hata hainiumi sijui kwa sbb naona hizo unbeaten zao ni za mchongoo 😀 😀 😀 😀 ?? Nawaacha wajifurahishe tuu hizi mambo huwa zina mwisho.
3 point securedMmeponea chupuchupu... Wanasema mmeponea tundu la sindano
Jibu swali ameshapigwa hapo si zaidi ya bao 6 msimu huuuKwa msimu hii inajieleza Diara The Kamikaze ameshindakana.
Kolo uyo Hajaangalia mechi alikuwa anasubiri yanga afungwe ndo aangalieAliyekwambia Kiiza Ndiye aliyepiga nani?
Kwa maumivu yapi mtani?.yani naona pira patu patu kabisa hiliUtakunywa sana tu dawa za kupunguza maumivu msimu huu.
Utopolo wamechoka na safari, yaani baada ya kucheza na wale Waarabu hawakupata muda wa kufanya tena mazoezi na kupumzika, yaani mazoezi baada ya ile mechi na Waarabu walifanya jana jioni.Nyie mshukuruni Mungu bahati ilikua yenu baaasi mengine mpunguze midomo.
Si unajua Waswahili walisema "Yatima hadeki" hata hiyo Tiefuefu watumie mbinu gani Wananchi ni mbele kwa mbeleSisi WAHUNI wa Tiefuefu tulijua leo Utopolo watapoteza mechi sababu ya uchovu na hatukutaka kuahirisha hii mechi imekuwa vinginevyo.
Sasa sijui tutumie mbinu gani.
Ebu tushaurini!
Kwani ww sikuhizi sio utopolo?Utopolo wamechoka na safari, yaani baada ya kucheza na wale Waarabu hawakupata muda wa kufanya tena mazoezi na kupumzika, yaani mazoezi baada ya ile mechi na Waarabu walifanya jana jioni.
Wamejitahidi sana, TFF walijua leo Utopolo watafungwa imekuwa rofauti.