Kagera Sugar sukari halisi ya Tanzani

Kagera Sugar sukari halisi ya Tanzani

Selle Milao

Member
Joined
Mar 30, 2016
Posts
32
Reaction score
30
1076777
Screenshot_2019-04-20-18-52-49-1.png
Sukari kijiko kimoja kwa vikombe viwili utamu mpaka kichogoni
Wenye akili mmeelewa
 
Kiporo kilisubiri sukari iagizwe kagera +gharama ya usafiri+kodi watumiaji wamedhamiria kutumia kijiko kimoja kwa vikombe viwili
 
Kwa kweli wana Simba itabidi tuandamane hadi kwa rais wa TFF kumuomba Kagera sugar washushwe daraja,haiwezekani kila mara watudhalilishe mpaka mbele ya Rais vMagufuli,na juzi wamechukua point zote sita. Hata haiwezekani,washushwe daraja.
Sukari hii inauzwa msimbazi kwa bei kubwa sana
 
Back
Top Bottom