Nina rafiki yangu huu mwaka wa kumi na sita kaoa ila mkewe wa ndoa bahati mbaya hazai, jamaa yeye hana tatizo. Mkewe kamruhusu baada ya yeye kumwomba azae nje then amchukue kachanga huyo wamlee wao kama mtoto wao. Mtoto kazaliwa nje ya ndoa sasa ana miaka mitatu ila huyu mwanamke pamoja na kuingia mkataba na wanandoa hawa kagoma kumtoa mtoto mwaka wa tatu sasa na ndoa ya watu iko hati hati kuvunjika maana huyu bibie mdogo anawavuruga sana. Nimejaribu kusuluhisha kwa kila namna imeshindikana na kumbembeleza bibie kasema mtoto hatoi. Naombeni mawazo yenu.
Thanx in advance.
Thanx in advance.