Natty Bongoman
JF-Expert Member
- Oct 10, 2008
- 403
- 191
Maoni yangu ~ mtu aitwe 'mheshimiwa' baada ya matendo yanayostahili heshima... kubandikwa cheo baada ya uchaguzi tu kinawafanya wengineo wavimbe vichwa na kuamua sheria za nchi haziwahusu... ama?
Last edited by a moderator: