Kagunga Kasekese Tanganyika Tanzania

Kagunga Kasekese Tanganyika Tanzania

bagamoyo

JF-Expert Member
Joined
Jan 14, 2010
Posts
24,941
Reaction score
28,869
Kijiji cha Kagunga
Kata ya Kasekese
Wilaya ya Tanganyika 50211

WAKULIMA WAANGUA KILIO KWA RAIS SAMIA WAFYEKEWA MAHINDI YALIYOZAA


View: https://m.youtube.com/watch?v=__MWE5flqWo

Wananchi walia kunyanyaswa wapigwa, wabebeshwa matofali kijiji cha Kagunga, kata ya Kasekese Tanganyika.

Fidia bado hawajalipwa wanalazimishwa kuondoka kwa mazao yao ya mahindi kufyekwa

Wananchi wanasema serikali na pia chama tawala CCM wanatambua mradi huo ulipoasisiwa mamlaka zote zilitambua uwepo wao kabla ya mradi.

Lakini makubaliano ya fidia au kupewa maeneo mapya bado hayajatekelezwa na mradi wa serikali lakini tayari wanafurumushwa kutoka maeneo yao bila fidia ...
 
Kijiji cha Kagunga
Kata ya Kasekese
Wilaya ya Tanganyika 50211

WAKULIMA WAANGUA KILIO KWA RAIS SAMIA WAFYEKEWA MAHINDI YALIYOZAA


View: https://m.youtube.com/watch?v=__MWE5flqWo

Wananchi walia kunyanyaswa wapigwa, wabebeshwa matofali kijiji cha Kagunga, kata ya Kasekese Tanganyika.

Fidia bado hawajalipwa wanalazimishwa kuondoka kwa mazao yao ya mahindi kufyekwa

Wananchi wanasema serikali na pia chama tawala CCM wanatambua mradi huo ulipoasisiwa mamlaka zote zilitambua uwepo wao kabla ya mradi.

Lakini makubaliano ya fidia au kupewa maeneo mapya bado hayajatekelezwa na mradi wa serikali lakini tayari wanafurumushwa kutoka maeneo yao bila fidia ...

Asante sana Voice of the Voioeless.

Asante sana Bagamoyo
 
Sisiemu mbere kwa mbere

Chagua CCM kwa maendeleo, mitano mingine kwa Mama 2025, bomoa CHADEMA wanachelewesha Maendeleo ya Watu, fukuza viongozi wa CHADEMA ndiyo wanaathiri sisi kupata maendeleo, haki na ardhi.

CCM ndiyo mwokozi wetu, tumaini la waTanzania wote werevu.
 
Back
Top Bottom